×

Exclusive: Anna Juakali Amkabidhi Mungu Ndoa Yake, Afichua Ya Uhusiano – Video

Staa wa Bongo Movie anayefanya vizuri kwenye tamthiliya ya Juakali Anna, amefanya mahojiano na Global Tv kupitia Exlusive za Imelda...

READ MORE

Urusi: Ndege Anayodaiwa Kupanda Bosi Wa Wagner Group Yapata Ajali Na Kuua Abiria Wote

KIONGOZI wa kundi la Wagner ambaye ni mpinzani mkubwa wa Rais Vladimir Putin wa Urusi anahofiwa kufariki katika ajali ya...

READ MORE

Ommy Dimpoz – My Queen (Official Music Video)

MSANII wa Bongo Fleva Omary Faraji Nyembo, maarufu kama Ommy Dimpoz, ameachia video ya wimbo wake wa My Queen akimuimbia...

READ MORE

Hii Ndo Sababu Ya Wasichana Wengi Kutokuolewa

Kila jambo linalotokea kwenye maisha lazima litakuwa na sababu, nikimaanisha pia hata mschana mzuri mwenye vigezo vyote akishindwa kuolewa pia...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi, Agosti 24, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 24, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Vodacom Yazindua Mikopo Ya Kidijitali Kupitia Kampeni Ya ‘Maisha Ni Kujiongeza na M-Pesa’

Kampuni ya teknolojia na mawasiliano, Vodacom Tanzania PLC, kupitia huduma yake ya M-Pesa, imezindua kampeni ijulikanayo kama ‘Maisha ni Kujiongeza...

READ MORE

Tigo Wampa Milioni Tano Mteja Wao Wa Kampeni Ya “Chawote”

Lovenes Conrad Malias Mkazi wa Mbezi Kibanda Cha Mkaa Jijini Dar Es Salaam ni miongoni mwa washindi wa Milioni TANO...

READ MORE

Wananchi wa Lindi Washukuru Kujengwa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Wananchi wa Mkoa wa Lindi wameishukuru Serikali baada ya kutangaza rasmi kuanza kwa ujenzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Yemi Alade Anusurika Katika Ajali ya Gari nchini Uhispania

  MWANA-DADA anayefanya vizuri kwa sasa kwenye Tasnia ya Muziki Afrika, Yemi Alade anasema amenusurika kwenye ajali ya gari alipokuwa...

READ MORE

ACT Kimeshangazwa na TFF Kukataza Mchezaji Kuingia Mkataba Binafsi na Mshindani wa Ligi

Kufuatia taarifa ya Bodi ya Ligi juu ya maboresho ya kanuni ambapo imeweka marufuku kwa mchezaji kuingia mkataba binafsi wa...

READ MORE

Robertinho Aanza Nyodo Simba Atoa Kauli ya Kibabe Ligi Kuu

NI kama ameanza tambo Kocha Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’, baada ya kusema kwa sasa anataka kuona wachezaji...

READ MORE

Rais wa Marekani kuhudhuria mkutano wa G20 nchini India

Rais wa Marekani Joe Biden atahudhuria Mkutano wa mataifa yenye nguvu za kiuchumi duniani, G20, mjini New Delhi, India, lakini...

READ MORE

Gamondi Aiandalia Mkakati Mpya KMC Leo Uwanja wa Azam Complex

LEO Jumatano Agosti 23, 2023  Yanga ikitarajiwa kuvaana na KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa timu...

READ MORE

Raia Wa Zimbabwe Wanapiga Kura Katika Uchaguzi wa Urais na Ubunge Leo

Raia wa Zimbabwe  leo Jumatano Agosti 23,  2023 wanapiga kura katika uchaguzi wa urais na ubunge baada ya kampeni iliyotawaliwa...

READ MORE

Mosses Phiri Atuma Salamu Yanga Awaambia Amejipanga Kufunga Mabao

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mzambia, Mosses Phiri, ametangaza hali ya hatari kwa mabeki wa timu za Ligi Kuu Bara zikiwemo Yanga...

READ MORE

Mchungaji Lusekelo Awavaa Maaskofu Katoliki, Awataka Wakae Kimya – Video

MCHUNGAJI wa Kanisa la Maombezi jijini Dar es Salaam (GRC), Antony Lusekelo ameukosoa waraka wa Baraza la Maaskofu Katokili Tanzania...

READ MORE

Kocha wa Yanga Muargentina Alirejesha Kundini Jembe La Nabi

KOCHA Mkuu wa Yanga, Muargentina, Miguel Gamondi, amesema anafurahia aina ya uchezaji wa beki wa kati wa timu hiyo, Dickson...

READ MORE

Nical -“Video Vixen Ni Wezi, Wanadanga Kwa Wasanii, Wanakopwa, Marioo Na Paula Tumechoka”- Video

VIDEO vixen matata Bongo, Monica Maulid ‘Nical’ ambaye ameshafanya kazi na wasanii mbalimbali kama vile Mbosso, Diamond Platnumz, Marioo, Rayvanny...

READ MORE

Mambo 7 Mwanaume Hapaswi Kumfanyia Mchumba/Mke Wake

  Ili kuishi maisha ya amani na furaha wewe pamoja na mwenzi wako, ni muhimu kupata elimu ya jinsia na...

READ MORE