×

FIFA Yamsimamisha Kwa Muda Rais Wa Shirikisho La Soka La Uhispania

Kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka duniani (FIFA) imemsimamisha kwa muda mkuu wa shirikisho la soka la Uhispania Luis...

READ MORE

Baada ya Kuhangaika Sana Kupata Ujauzito, Hatimaye Sasa Nina Watoto Wawili

  Katika maisha yangu niliangaika kwa miaka mingi kutafuta ujauzito, nilienda kila Hospitali, nilitumia kila aina ya dawa hasa za...

READ MORE

Fahamu Kinachosababisha Wajawazito Kuvimba Miguu

TATIZO hili la kuvimba miguu huwapata karibu wajawazito wote na huwa haliashirii tatizo lolote kubwa la kiafya kwani hutokana na...

READ MORE

Skudu Atoa Tamko Zito Akitokea Kwao Afrika Kusini

BAADA ya kutua nchini usiku wa kuamkia jana Jumamosi akitokea kwao Afrika Kusini alipokuwa akijiuguza majeraha, staa wa kimataifa wa...

READ MORE

Waziri Wa Uchukuzi Amfuta Kazi Mkuu Wa Mamlaka Ya Viwanja Vya Ndege Kenya Baada Ya Kukatika Kwa Umeme

Waziri wa Uchukuzi wa Kenya, Kipchumba Murkomen, amewafukuza kazi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (KAA), Alex Gitari na...

READ MORE

Mbio Za Mbuzi 2023 Zinazolenga Ufadhili Masomo Elimu Ya Juu Kudhaminiwa Na Vodacom

Dar es Salaam – Agosti 28, 2023. Katika kuunga mkono jitihada za upatikanaji wa fursa za kielimu nchini, Taasisi ya Vodacom...

READ MORE

Uchaguzi ya Zimbabwe: Emmerson Mnangagwa Atangazwa Kushinda Tena Urais

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zimbabwe (ZEC) imetangaza, Emmerson Mnangagwa kuwa ametetea Kiti chake kwa 53% ya Kura zilizopigwa....

READ MORE

EWURA Yaridhishwa Na Kazi Ya Utengenezaji Wa Matela Ya Kusafirisha Mabomba Ya Mradi Wa EACOP

Bodi ya Wakurugenzi  wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (Ewura), imesema kuwa imeridhishwa na utekelezaji...

READ MORE

Fei Toto Atajwa Azam Kutolewa Kombe la Shirikisho Afrika Hatua ya Awali

BAADA ya Azam FC kuondolewa katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya awali, kocha wa timu hiyo, Yousouf...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Onyo Kwa Watoa Leseni Za Uchimbaji – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa onyo kwa maafisa wanaohusika na utoaji wa leseni za madini kuacha tabia ya kuwazunguka wananchi...

READ MORE

Wafanyakazi 11 wa Soka la Hispania Wajiuzulu Kufuatia Sakata la Busu

Wafanyakazi 11 katika soka la Hispania wamejiuzulu kufuatia sakata la busu lililotokea katika sherehe za Kombe la Dunia la Wanawake...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumapili, Agosti 27, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 27, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali Itaendelea Kumuenzi Marehemu Bernard Membe

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Agosti 26, 2023 ameshiriki kwenye ibada ya kumbukumbu ya Marehemu Bernard Membe iliyofanyika katika kijiji cha...

READ MORE

Rais Dkt. Hussein Mwinyi Apongeza Absa Tanzania Kusaidia Juhudi za Kupunguza Vifo vya Mama wajawazito

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dk Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya Absa Tanzania, kwa...

READ MORE

Washindi Wa Kampeni ya Tigo Chawote Wapewa Chao

Ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya chawote ya Tigo  imekabidhi washindi sita hundi ya milioni moja moja  ofisini kwao Jijini...

READ MORE

Waziri wa Elimu Awakumbusha Wathibiti Ubora wa Shule Kulinda Viwango Vya Utoaji Elimu

Wathibiti Ubora wa Shule nchini wametakiwa kuhakikisha shule zinakuwa na viwango vilivyowekwa na Serikali katika miundombinu, ufundishaji, vitendea kazi na...

READ MORE

Serikali Kuhimiza Ujenzi Kampasi ya Chuo Kikuu cha Agha Khan Arusha

Serikali itaendelea kufuatilia na kuhimiza ujenzi wa kampasi ya Chuo Kikuu cha Agha Khan mkoani Arusha Hayo yamesemwa na Waziri...

READ MORE

ECOWAS Yawaambia Viongozi Wa Mapinduzi Niger Kufikiria Msimamo Wao

Majenerali waliomuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum katika uasi wa Julai 26 wametaja kipindi cha mpito cha miaka mitatu huku Jumuiya...

READ MORE

Rais wa zamani wa Ufaransa Kufikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Rushwa

Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy atasimama mahakamani mwaka 2025 kwa tuhuma za rushwa na ufadhili haramu unaohusishwa na...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumamosi, Agosti 26, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 26, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE