×

Serikali Yagharamia Mashabiki 55 Kwenda Kutoa Hamasa Kwa Yanga Afrika Kusini

Serikali kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo katika juhudi za hamasa kuendelea kuunga mkono michezo nchini hususani katika mashindano...

READ MORE

Tajiri Awapa Mayele, Aziz Ki Mamilioni kwa ajili ya Kombe la Shirikisho Afrika

WACHEZAJI wa Yanga furaha tupu kambini, ni baada ya kupewa ahadi ya kuongezewa bonasi kutoka kwa mdhamini wa timu hiyo,...

READ MORE

Nyie Yanga Raha Asikwambie Mtu! Watetea Ubingwa Wao wa Ligi – Video

NYIE Yanga raha asikwambie mtu! Wawakilishi hao pekee wa Tanzania waliobaki kwenye michuano ya kimataifa, unaweza kusema huu ni mwaka...

READ MORE

Reflector Zatolewa Kwa Bodaboda Maeneo ya Mbagala

“Hodi hodi bodaboda wa Mbagala Meridianbet tumekuja kwaajili yenu na hapa tulipo tumewaletea reflector zitakazowasaidia wakati mkiwa mnaendesha chombo hicho...

READ MORE

Kaizer Yaingilia Usajili Wa Straika Msauzi Yanga

IMEFAHAMIKA kuwa Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini inahusishwa kuingia katika vita dhidi ya Yanga ya kuwania saini ya...

READ MORE

Vodacom Yatangaza Taarifa Ya Mwaka Unaoishia Machi 31, 2023, Yaonyesha Kuimarika Kifaida

Dares Salaam – Mei 12, 2023.Kampuni pekee ya mawasiliano ya simu iliyoorodheshwa kwenye soko la hisa la Dar es Salaam,...

READ MORE

Mrisho Saleh; Mkimbizi Kutoka Kongo Anayeishi Marekani kwa Kuimba Qaswida

  Wahenga wanasema mlango mmoja ukifungwa, basi mwingine unafunguka! Hiki ndicho kilichotokea kwa Mrisho Saleh, Mkongomani anayeishi Illinois nchini Marekani,...

READ MORE

Rais Samia Awataka Vijana Kutumia Mitandao ya Kijamii Vizuri – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka vijana kutumia mitandao ya kijamii vizuri kwani kuna uhuru...

READ MORE

Mbowe Alivyokutana Na Kumfariji Mke Wa Membe Na Watoto Wake – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amefika kuhani msiba wa Benard Membe, mwanasiasa mkongwe aliyefikwa na...

READ MORE

Baada Ya Kufeli Msimu Huu… Usajili Mpya Simba Kufuru Kuitikisa Afrika

BAADA ya kushindwa kufikia malengo yao msimu huu, uongozi wa Simba umeibuka na kuchimba mkwara mzito kuwa mapema tu tayari...

READ MORE

Viongozi Wa Mbio Za Mwenge Wapanda Miti Bwawa La Mindu, Watoa Maagizo Kwa Bonde La Wami Ruvu

Morogoro: Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Abdala Shaibu Kaimu amewaasa wananchi kuacha kufanya shughuli za kibinadamu karibu na maeneo...

READ MORE

Waziri Ajiuzulu kwa Kusafiri Kifahari Kuhudhuria Kutawazwa kwa Mfalme Charles III

WAZIRI wa mambo ya nje wa Papua New Guinea, Justin Tkatchenko amejiuzulu baada ya kashfa ya matumizi ya fedha ya...

READ MORE

Kocha wa Yanga Atoa Maagizo Magumu Kwa Mayele

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema ni muhimu kwa wachezaji wake wote kuongeza umakini kwenye ushambuliaji katika mechi zote...

READ MORE

TECNO Kutambulisha Nyenzo Mpya “Magic Skin” Kwenye Simu za Mkononi Afrika

TECNO inakua brand ya kwanza ya simu za mkononi kuzindua nyenzo ya ngozi rafiki “Magic Skin” barani Africa ambayo ni...

READ MORE

Straika Msauzi Ranga Chivaviro Aziingiza Vitani Yanga, Simba

KLABU za Simba na Yanga, zimeingia katika vita nzito ya kusaka saini ya straika wa Marumo Gallants ya Afrika Kusini,...

READ MORE

China Yataka Mwanadiplomasia Wa Canada Aondoke Kabla Ya Tarehe 13

Wizara ya Mambo ya Nje ya China imemtangaza mwanadiplomasia wa ubalozi mdogo wa Canada jijini Shanghai Jennifer Lalonde kama “mtu...

READ MORE

Breaking: Bernard Membe Afariki Dunia Baada ya Kuugua Kwa Muda Mfupi

  Habari mbaya zilizotufikia hivi punde leo Mei 12, 2023 zinaeleza kuwa, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Kamilius...

READ MORE

Mayele, Aziz KI Waweka Rekodi Za Kufunga Hat Trick Yanga

MASTAA wawili ndani ya Yanga, Fiston Mayele na Aziz KI, wameweka rekodi zao kuwa nyota waliofunga hat trick ndani ya...

READ MORE

Pande Zinazopigana Nchini Sudan Zasaini Makubaliano Ya Kuzuia Kuwadhuru Raia

Shirika la Habari la Saudi Arabia, Al Arabiya limesema, wawakilishi wa jeshi la Sudan na Kikosi cha Msaada wa Haraka...

READ MORE

Onyango Aomba Kuondoka Simba Aandika Barua Kwa Uongozi

BEKI wa kati mkongwe wa Simba raia wa Simba, Joash Onyango, ameona isiwe shida, haraka ameandika barua kwa uongozi akiomba...

READ MORE