×

Iran Yaapa Kulipa Kisasi kwa Kundi la Magaidi Lililoua Watu 15

RAIS wa Iran, Ibrahim Raisi ameapa kulipiza kisasi dhidi ya kundi la kigaidi lililotekeleza mashambulizi katika sehemu ya ibada ya...

READ MORE

Majambazi Wawili Wauawa Gongo la Mboto Wakiiba Mkopo wa Milioni 1

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam kwa kushirikiana na Wananchi wa maeneo ya Gongo la Mboto wamewadhibiti...

READ MORE

Korea Yaipatia Tanzania Mkopo wa Shilingi Bilioni 310

SERIKALI ya Jamhuri ya Korea imeipatia Tanzania mkopo wa gharama nafuu wa shilingi bilioni 310 kwa ajili ya upanuzi wa...

READ MORE

Watu 28 Wafariki Katika Kimbunga Nchini Bangladesh, Mamilioni Wakosa Umeme

IDADI ya watu waliofariki dunia kutokana na Kimbunga cha Sitrang nchini Bangladesh imeongezeka na kufikia 28 huku mamilioni ya watu...

READ MORE

Nafasi ya Kazi Ifakara Health Institute (IHI), Human Resources Officer

Job Summary Position:                   Human Resources Officer (1 post) Reports To:               Human Resources Manager Work Station:          Dar es Salaam Apply By:                             ...

READ MORE

Azam FC Yapania Kuharibu Rekodi ya Mgunda Simba Katika Uwanja wa Mkapa

  UONGOZI wa Azam FC, kupitia kwa Kaimu Ofisa Habari wake, Hashim Ibwe umewataka mashabiki wake kununua tiketi kwa wingi...

READ MORE

Bunge Kenya Lawapitisha Mawaziri Wote 24 Walioteuliwa na Rais Ruto

Bunge la Kenya Jumatano hatimaye limeidhinisha uteuzi wa mawaziri wote 24 kuhudumu kwenye baraza la mawaziri la rais William Ruto....

READ MORE

Mshambuliaji wa Simba Moses Phiri Ambebesha Zigo Zito Chama Simba

  MSHAMBULIAJI wa Simba, Mzambia, Moses Phiri amesema kuwa kiungo wao mshambuliaji, Clatous Chama ndiye atakayeamua kumpa ufungaji bora msimu...

READ MORE

Mtu Mchafu Zaidi Duniani Aaga Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 94 nchini Iran

Mwanaume wa Iran, Amou Haji ambaye anashikilia rekodi ya kuwa ni mtu mchafu zaidi duniani kwa muda wa nusu karne...

READ MORE

SBL Yazindua Kampeni ya Kupinga Unywaji Pombe Katika Umri Mdogo

  Dar es Salaam, Oktoba 27, 2022 –  Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua programu  ya kupambana na unywaji...

READ MORE

Benki ya I&M Tanzania Yakutana na Wateja na Bodi ya Wakurugenzi Kwenye Hafla

    Siku ya Alhamisi 27 Oktoba 2022, Benki ya I&M Tanzania hivi karibuni imefanya hafla ya chakula cha jioni...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Alhamisi, Oktoba 27, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 27 , 2022 Usipitwe na...

READ MORE

Utafiti Waonesha Halotel Yaongoza Kwa Intaneti Yenye Spidi Nchini

Kampuni ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania imeshika usukani mara ya tatu kwa kuwa na huduma ya intaneti yenye...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la SpotiXtra leo Oct-27 Kwa nusu bei tu www.globalapp.co.tz AU Gazeti la SpotiXtrahttps://bit.ly/3gCpMLU

READ MORE

Rais Samia Aridhia Walioghushi Vyeti Kurudishiwa Michango ya Hifadhi za Jamii

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Watumishi wa Serikali walioondolewa kazini kwa  sababu ya kughushi vyeti kurudishiwa  michango yao waliyochangia katika...

READ MORE

Yanga Waendeleza Ubabe Wao, Wacheza Michezo 44 bila Kupoteza, Nabi Aweka Rekodi Mpya kwenye Ligi hapa Nchini

Mchezo wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara kati ya Yanga na KMC uliopigwa kwenye dimba la Mkapa jijini Dar...

READ MORE

Anayeshikilia Rekodi ya Kuwa Mchafu Zaidi Duniani Afariki Dunia

MWANAUME wa Iran, Amou Haji ambaye anashikilia rekodi ya kuwa ni mtu mchafu zaidi duniani kwa muda wa nusu karne...

READ MORE

Rais Samia Amedhamiria Kuendelea Kuimarisha Huduma za Afya-Majaliwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kuimarisha utoaji wa huduma za afya kwa kuwezesha...

READ MORE

Mpanda: Mtoto wa Miaka 10 Auawa Akiwa Machungoni

MTOTO wa Miaka 10 kutoka Kijiji cha Kakese Kata ya Kakese Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi ameuawa na...

READ MORE

Watendaji URA Saccos Watakiwa Kutoa Huduma Bora kwa Wanachama

CHAMA cha Ushirika cha kuweka na kukopa cha Jeshi la Polisi (URA SACCOS) Kimewataka watendaji wa chama hicho kutoka Mikoa...

READ MORE