×

Maswali Matano Mazito Yaibuka Katibu wa Masanja Kujinyonga Dar

Tukio la Katibu wa Kanisa la Feel Free Church la nchini Tanzania linaoongozwa na Mchungaji Emmanuel Mgaya almaarufu Masanja Mkandamizaji...

READ MORE

Waziri Mkenda Ataka Chuo Cha DIT Kuongeza Mafunzo

    Serikali imeitaka Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Saalam (DIT) kuhakikisha kuwa inaongeza ufundishaji kwenye ujuzi wa bidhaa...

READ MORE

Mtoto wa Hamisa Mobeto Ampa Laana Diamond Platnumz… Kisa Kipo Hapa

Dyllan; ni mtoto wa mastaa wawili wakubwa nchini Tanzania, Diamond Platnumz na Hamisa Mobeto ambaye anadaiwa kumpa laana baba yake...

READ MORE

Serikali Yaendelea Kurahisisha Utoaji Wa Hati za Viwanja Kwa Njia Ya Kidijitali

  Kamishina wa Ardhi Msaidizi mkoa Dar es salaam Bw. Idrisa Kayera ameshiriki Clinic ya Ardhi Segerea na kutoa hati...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi, Oktoba 8, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 8 , 2022 Usipitwe na...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi leo Oct-08, Kwa nusu bei tu   Gazeti la Championihttps://bit.ly/3M4GO0G AU Championihttps://bit.ly/3M4GO0G ....

READ MORE

Al Hilal Kesho Hamchomoki kwa Mkapa… Matajiri Yanga Wavamia Kambini

KAMATI ya Mashindano ya Yanga, leo Ijumaa usiku imepanga kufanya kikao kizito sambamba na kula chakula cha usiku na wachezaji...

READ MORE

WHO: Afrika ina Kiwango Cha Juu Watu Wanaojitoa Uhai duniani

Shirika la Afya Duniani linasema Afrika ina kiwango kikubwa zaidi cha watu wanaojiua, Shirika hilo sasa limezindua kampeni ya mitandao...

READ MORE

Zamalek Wagoma Kuja Dar Walipia Gharama Zote Mechi Kupigwa Cairo

IMEELEZWA kuwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya Flambeau du Centre ya Burundi dhidi ya Mabingwa wa...

READ MORE

Jimmy Kindoki Awaita Mashabiki wa Simba Kuishangilia Yanga Uwanja wa Mkapa-Video

SHABIKI maarufu wa klabu ya Yanga, Jimmy Kindoki leo Oktoba 7, 2022 amesema kuwa huu ni wakati wa mashabiki wa...

READ MORE

Ten Hag Awawashia Moto Sancho na Malacia, Aoneshwa Kutofurahishwa na Kiwango Chao

KOCHA wa Manchester United Erik Ten Hag amewajia juu wachezaji wake wawili Jadon Sancho pamoja na Tyrell Malacia kutokana na...

READ MORE

Biden Aitahadharisha Dunia Juu ya Matumizi ya Nyuklia, Adai Putin Hatanii

RAIS wa Marekani Joe Biden ameitahadharisha dunia ikiwemo Umoja wa Ulaya pamoja na Marekani kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin...

READ MORE

Singida, Prisons Zafungiwa Kusajili Kwa Kipindi cha Dirisha Moja … Kisa Kipo Hapa

Klabu za Tanzania Prisons na Singida Big Stars zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, zimepigwa rungu la kutofanya usajili kwa kipindi...

READ MORE

Simba Yapangua Fitina, Yagoma Kulala Angola Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika

UONGOZI wa Simba umeendelea kutengua fitina zote walizoandaliwa na wapinzani wao Primeiro De Agosto ya Angola kwenye Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

PSSSF Kuimarisha Uhusiano na Global Group, Yaadhimia Kutoa Elimu ya Mfuko

MENEJA Uhusiano na Elimu kwa Umma wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Ndugu James Mloe,...

READ MORE

Mechi za Ushindi Kwenye Meridianbet Wiki Hii, Weka Utabiri Wako

Ni muendelezo wa Ligi mbalimbali wikiendi hii, kwenye Epl Chelsea watarudi uwanjani kukipiga na Wolves siku ya Jumamosi kwenye dimba...

READ MORE

Haji Manara Ajiachia Kiwanja na Wake Zake Wawili Awapa Pongezi

Haji Manara ameshea picha akiwa na wake zake wawili hotelini na kusema kuwa ni siku kubwa sana kula chakula na...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi na Ijumaa leo Oct-07, Gazeti la Championi👉https://bit.ly/3ebG9xV Gazeti la Ijumaa👉https://bit.ly/3V9byln . 👇 Twende...

READ MORE

GGML Wadhamini Mkutano Mkuu Wawanajiolojia Arusha

Katika kuunga mkono ukuaji wa fani mbalimbalinchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imejitosa kudhamini mkutano mkuu wamwaka wa wanajiolojia wa Tanzania unaofanyika mkoani Arusha. Mkutano huo ambao umeanza tarehe 4 Oktobaunatarajiwa kumalizika tarehe 7 Oktoba mwakahuu na unaratibiwa na Chama cha Watalaamwa Jiolojia Tanzania (TGS) kinachokadiriwakuwa na wanachama zaidi ya 300.   Akizungumza na Mwandishi wetu, Mrakibu waJiolojia katika Kampuni ya GGML, Eric Kalondwa alisema kampuni ya GGML imetoashilingi milioni 25 za Kitanzania kudhaminimkutano huo uliofunguliwa na Waziri waMadini, Dk. Dotto Biteko kwa niaba ya Makamuwa Rais, Dkt. Philip Mpango lakini unatarajiwakufungwa na Waziri wa Maji, Juma Aweso.   Alisema katika mkutano huo ambao hufanyikakila mwaka kwenye mikoa tofauti tofauti, jumlaya wanajiolojia 11 kutoka mkoani...

READ MORE

Nafasi ya Kazi WaterAid International, Senior Communications Manager

Senior Communications Manager – Advocacy Permanent, Full – Time Salary: UK, London (Hybrid): Grade 3 – £42,870 – £51,400 Senegal,...

READ MORE