×

Marekani Yatangaza Msaada wa Dola Milioni 625 kwa Ukraine

MAREKANI imetangaza msaada mwingine wa kiasi cha fedha cha Dola Milioni 625 kwa nchi ya Ukraine ili kiweze kuwasaidia katika...

READ MORE

Simba Yapangua Fitna Zote Nchini Angola Watanguliza Mashushushu wao

UNAAMBIWA wakati mashabiki wa Simba wakiendelea kushangilia ushindi wa mabao 3-0 walioupata timu yao dhidi ya Dodoma Jiji, tayari mabosi...

READ MORE

Mtoto Auawa Katika Jaribio la Kuzuia Risasi kwa Kutumia Hirizi

Mtoto mwenye umri wa miaka 12, anayefahamika kwa jina la Yusuph Abubakari ameuawa baada ya kaka yake, Abubakari Abubakari kujaribu...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Waziri wa Fedha wa Qatar leo – Picha

Rais Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 5, 2022 amekutana na kuzungumza na Waziri wa Fedha wa Qatar ambaye pia ni...

READ MORE

Nafasi za Kazi CCBRT,Mason

Comprehensive Community Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) aims to be the leading provider of accessible specialized health services in Africa...

READ MORE

Masanja Atua nchini Akitokea Marekani Apokelewa na Mkewe Uwanja wa Ndege – Video

Masanja Mkandamizaji; ni Askofu wa Makanisa ya Fell Free Church ambaye usiku wa kuamkia leo Oktoba 5, 2022 na kupokelewa...

READ MORE

Tunda, Meja Wawajibu Wema, Whozu Waoneshana Mahaba ya Kufa Mtu

  Tunda; ni video vixen maarufu Bongo na mzazi mwenza wa msanii Whozu ambaye kwa sasa anatoka kimapenzi na msanii...

READ MORE

Bilionea Musk Amshukia Zelensky Amtaka Atafute Suluhu ya Vita Dhidi ya Urusi

BILIONEA namba moja Duniani Elon Musk amemkingia kifua Rais wa Urusi Vladimir Putin na kumshutumu vikali Rais wa Ukraine Volodymyr...

READ MORE

Live: Waziri Mkuu Anashiriki Mkutano wa 65 wa Shirika la Utalii Duniani Kamisheni ya Afrika -VIDEO

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa amehudhuria ufunguzi wa mkutano wa Shirika la Utalii Duniani...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Watanzania Wanaoishi Nchini Qatar Doha – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan  Oktoba, 2022 amezungumza na Watanzania wanaoishi Nchini Qatar (Diaspora) katika...

READ MORE

Bei ya Mafuta Tanzania Yazidi Kushuka Wananchi Wachekelea

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei mpya za mafuta kuanzia leo Oktoba 5 zimeshuka...

READ MORE

Akiba Commercial Bank Washerehekea Maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja

    5.Oktoba.2022: Dar es Salaam; Benki ya Akiba Commercial Bank washerekea wiki ya  huduma kwa wateja katika matawi yao mbalimbali toka kuanzishwa kwa benki hiyo miaka 25 iliyopita.   Akizungumza katika kusherekea wiki hiyo ya huduma kwa wateja Mkurungezi Mtendaji bwana Silvest Arumasi...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi leo Oct-05, Kwa nusu bei tu Gazeti la Championi👉https://bit.ly/3M4GO0G AU Championi👉https://bit.ly/3M4GO0G . 👇...

READ MORE

Waziri Mchengerwa Atembelea Klabu ya Fenerbahche ya Nchini Uturuki

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametembelea moja ya klabu kongwe na mashuhuri duniani, Fenerbahche ya Uturuki,...

READ MORE

Waziri Ummy Mwalimu Awatoa Hofu Watanzania Kuhusu Ebola

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amewatoa hofu Watanzania kuhusu Ugonjwa wa Ebola uliopo nchi jirani na kuwataka waendelee kuchukua...

READ MORE

Polisi Yafafanua Tukio la Mke wa Masanja na Katibu wa Kanisa

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lisema uchunguzi wa awali wa Polisi kuhusu tukio la Katibu wa...

READ MORE

Tunaenda Ligi ya Mabingwa Kushindana Siyo Kushiriki Tu – Kocha Mpya Simba Queens

KOCHA mpya wa Simba Queens, Charles Ayiekoh Mbuzi amefunguka mambo mengi na Global Publishers mara tu baada ya kujiunga na...

READ MORE

Babu Tale Kuwalipia Tiketi za Ndege Wasanii Waliotajwa Tuzo za Afrimma

MBUNGE wa Morogoro Mashariki na Meneja wa Wasanii wa muziki chini ya lebo ya WCB, Hamisi Taletale ameainisha dhamira yake...

READ MORE

Zifahamu Nchi Zenye Watu Wengi Zaidi Duniani, Tanzania Imo

HAISHANGAZI sana kuona kuwa nchi kubwa zaidi ulimwenguni ndio nchi zinazoongoza kwa idadi ya watu wengi zaidi duniani, mataifa kama...

READ MORE

Mke Aliyekufa Ajalini Akimfukuza Mume na Mchepuko, Mumewe Naye Afariki

WIKI mbili zilizopita kulikuwa na habari za tanzia kuhusu mwanamke mmoja aliyefariki dunia katika ajali ya barabara alipokuwa akimkimbiza mumewe,...

READ MORE