×

Khadija Kimobitel: Nimenunua Vyombo na Muda si Mrefu Nafungua Bendi

MWANAMUZIKI Mkongwe wa Dansi aliyewahi kutamba na kundi la Twanga Pepeta Khadija Kimobitel amesema tayari amefanikiwa kununua vyombo pamoja na...

READ MORE

Rayvanny Afunguka Adai Nyumba Aliyoichoma Ilikuwa Nyumba ya Mchongo

RAYVANNY au Vanny Boy; ni staa mwingine mkubwa wa muziki nchini Tanzania ambaye amewafanya watu kuzungumza kwenye mitandao tofauti ya...

READ MORE

Viongozi wa Skauti Wakutana na Waziri wa Elimu, Kufanyika Mkutano Mkuu Julai

  Mkutano Mkuu wa SKAUTI umepangwa kufanyika tarehe 2 Julai 2022 Jijini Dodoma ukiwa na agenda kubwa ya uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Try Again Ajinadi, Adai Simba Inajipanga Upya Kufanya Vizuri Msimu Ujao

SALIM ABDALLAH maarufu ‘Try Again’ Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba ambaye amefunguka mengi juu ya timu...

READ MORE

Yanga Yapania Kufanya Makubwa Kimataifa, Yaanza Harakati za Usajili

UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umeelezea mikakati yake kuelekea msimu ujao kuwa ni kufanya vizuri kwenye michuano ya ndani na...

READ MORE

Kroos, Alaba Wafichua Siri ya mafanikio ya Real Madrid

REAL Madrid ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Ligi Kuu ya Hispania (La Liga) na Supercup ya Hispania msimu...

READ MORE

Madiwani wa Viti Maalum Dar, Wacharuka Kupinga Ukatili wa Kijinsia Nchini(PICHA+VIDEO)

  MADIWANI wa vita maalum katika Mkoa wa Dar es Salaam wamesimama kidete kupinga ukatili unaoendelea dhidi ya watoto wakiomba...

READ MORE

Mchezaji wa Tottenham Hotspurs Anusurika Kuuawa Kwa Risasi

BEKI wa Kulia wa Tottenham Hotspurs raia wa Brazil Emerson Royal (23) amenusurika kuuawa kwa risasi baada ya kuvamiwa na...

READ MORE

Mauaji ya Kikatili Yamzeesha Mkuu wa Wilaya ya Njombe

MKUU wa Wilaya ya Njombe ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Kissa Kasongwa ametangaza vita kwa...

READ MORE

Mrembo Afariki Akifanyiwa Sajari ya Kuuboresha Mwili Wake Lagos, Nigeria

Crystabel; ni mrembo slay queen maarufu jijini Lagos nchini Nigeria ambaye anadaiwa kufa hospitalini alikokuwa amekwenda kufanya sajari ya kuuboresha...

READ MORE

Zuchu Apambania Kombe Kwa Diamond, Aoneshana Mahaba Mazito Bila Woga

  Zuhura Othman wengi wanamjua kama Zuchu; ni malkia mpya wa muziki nchini Tanzania ambaye ameapa kupambania kombe kwa bosi...

READ MORE

Nafasi za Kazi 2 NAOT, Fani ya Utengenezaji wa Programu za TEHAMA (PROGRAMMING)

POST FANI YA UTENGENEZAJI WA PROGRAMU ZA TEHAMA II(PROGRAMMING) – 2 POST EMPLOYER National Audit Office (NAOT) APPLICATION TIMELINE: 2022-05-27...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi, Juni 4, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Juni 4, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Wananchi Tabora Watakiwa Kusajili Watoto Wao ili Kupatiwa Vyeti vya Kuzaliwa

Wananchi wa Mkoa wa Tabora wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuwasajili watoto wao ili wapate vyeti vya kuzaliwa bila ya malipo...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Yanga Wamfuata Straika Mzambia Sauz, Yapania Kujipanga Kimataifa

YANGA ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa Mzambia, Lazarous Kambole, anayekipiga Klabu ya Kaizer...

READ MORE

Mke Amkata Mumewe Sehemu za Siri kwa Wembe, Ashikiliwa na Jeshi la Polisi Ruvuma

JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Mwanamke mmoja ajulikanaye kwa jina la Hellen Mchahuru (40) kwa tuhuma za kumjeruhi kwa...

READ MORE

Simba Yakubali Mziki wa Yanga Yawaachia Aziz Ki

MABOSI wa Simba wamejitoa kwenye vita ya kuwania saini ya mshambuiliaji wa Asec Mimosas ya Ivory Coast, Mbukinabe, Aziz Ki...

READ MORE

Nido Kubwa Zamponza Mrembo, Ashushwa Kwenye Ndege Canada Akitaka Kwenda Marekani

  Mary Magdalene (28); ni mrembo ambaye amekuwa gumzo duniani baada ya kudai kuponzwa na ukubwa wa matiti yake (nido)...

READ MORE

Milioni 800 za Mo Zaanza na Straika Mghana, Amefichwa Hoteli Kubwa

IMEELEZWA kuwa Sh 800Mil alizoweka Rais wa Heshima wa Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’ kwa ajili ya usajili, zimeanza na mshambuliaji...

READ MORE