Rais Dkt. Samia Azungumza na Wananchi Tunduma Akielekea Dodoma – (Picha + Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasalimia Wananchi wa Tunduma Njiani kuelekea Dodoma Mara baada ya Kumaliza Ziara yake Mkoani Rukwa leo Julai 18, 2024.
