The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Alivyopiga Picha ‘Selfie’ na Wananchi wa Morogoro Wakati Akiondoka

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga picha ‘selfie’ na wananchi wa Morogoro wakati akiondoka katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro mara baada ya kuwahutubia tarehe 06 Agosti, 2024.
Rais Dkt. Samia akiagana na Wananchi wa Morogoro mara baada ya kuwahutubia kwenye mkutano wa hadhara.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Agosti 6, 2024 amepiga picha ‘selfie’ na wananchi wa Morogoro wakati akiondoka katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro mara baada ya kuwahutubia.

Leave A Reply