Rais Samia Ashiriki Hafla ya Utiaji Saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe leo tarehe 30 Septemba, katika Jengo la Kitega Uchumi jijini Dodoma






