The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Ashiriki Ufunguzi Wa Kikao Kazi Cha Wenyeviti Wa Bodi AICC Arusha – Video

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Viongozi mbalimbali kabla ya kufungua Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) tarehe 28 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Agosti 28, 2024 ameshiriki Ufunguzi wa kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma katika kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC).

Rais Samia akiongoza wageni na viongozi mbalimbali kuimba wimbo wa Taifa muda mfupi baada ya kuwasili kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimaitaifa cha Arusha (AICC), mkoani Arusha, tayari kwa ufunguzi wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma kwa mwaka 2024.

Leave A Reply