Rais Samia Ashiriki ufunguzi wa mkutano wa Korea na Afrika uliofanyika Kintex

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Juni 4, 2024 ameshiriki katika ufunguzi wa mkutano wa Korea na Afrika uliofanyika Kintex, nje kidogo ya Jiji la Seoul, Jamhuri ya Korea.


PICHA NA IKULU YA TANZANIA, KOREA