The House of Favourite Newspapers
gunners X

Rais Samia Ashiriki Zoezi La Undikishaji Kwenye Daftari La Wapiga Kura Wa Serikali Za Mitaa – (Picha + Video)

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akijiandikisha kwenye Daftari la Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 11 Oktoba,2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ashiriki zoezi la Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga Kura wa Serikali za Mitaa Katika Kitongoji cha Sokoine Wilaya ya Chamwino – Dodoma, leo tarehe 11 Oktoba, 2024.

Rais Samia akishiriki zoezi la Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 11 Oktoba,2024.

 

Leave A Reply