Rais Samia Atoa Heshima Za Mwisho Msiba Wa Marehemu Zelothe Stephen – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Oktoba 28, 2023 alifika kutoa heshima za mwisho nyumbani kwa aliyekuwa Kamishna Msaidizi mwandamizi (mstaafu) wa Jeshi la polisi nchni, ambaye pia alikuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, Marehemu Zelothe Stephen Zelothe Seaview-Upanga jijini Dar es Salaam.





