The House of Favourite Newspapers
gunners X

Simba Yamtambulisha kocha Mkuu Mpya Abdelhak Benchikha

0

Klabu ya Simba imemtambulisha kocha Mkuu mpya Abdelhak Benchikha ambaye amekuja na kocha wake Msaidizi Farid pamoja na kocha wa viungo, Kamal tayari kwa kuianza kazi ya kukinoa kikosi hicho.
• Kocha mkuu Abdelhak Benchikha.
• Kocha msaidizi Farid Zemiti.
• Kocha wa viungo Kamal Boudjenane.

Leave A Reply