Taarifa Ya CAG Yabaini Madudu, Mabilioni Yapigwa, Halmashauri Kichaka Cha Wapigaji.. -Video
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Edward Kichere amezungumza na wanahabari Aprili 06, 2023 akieleza kuhusu ripoti ya ukaguzi wa hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022…
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

