The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Amanda

Amanda Awananga Mastaa Walevi

STAA wa filamu za Kibongo, Amanda Poshi ameibuka na kueleza kuwa kutokana na watu wengi kulia ugumu wa maisha kwamba vyuma vimekaza, wanaokoma na kukiona cha moto zaidi ni wale mastaa walevi. Akipiga stori na Amani, Amanda…

Amanda Awashangaa Wanaume Kuhonga

GABRIEL NG’OSHA GAZETI LA AMANI, HABARI SEXY lady kunako tasnia ya Bongo Muvi, Tamrinah Poshi ‘Amanda’ ameshangazwa na tabia ya baadhi ya wanaume kuhonga wanawake wakati pesa wanazitafuta katika mazingira magumu na ya kusikitisha.…

AMANDA: Tatuu ni Kama Teja wa Unga

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| RISASI VIBES MWANADADA kutoka Bongo Muvi, Amanda Poshi ameibuka na kusema kuwa kuchora michoro mwilini ‘tatuu’ ni kama teja wa madawa ya kulevya ‘unga’ kwani ukijaribu moja, unatamani ujaze…

Amanda atumika kwa utapeli

Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’. Mwandishi wetu Kaa chonjo! Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya jina lake kutumika kwa utapeli kwenye mitandao ya kijamii. Amanda ameliambia…