×

Tag: Bongo Movie

Ziggy: Sitaki Kuitwa Msanii Wa Bongo Muvi

STAA wa filamu nchini  aliyewahi kung’aa kwenye filamu kama Wake Up, Kalambati Lobo, Handsome Fake na Maziko Saa 6, Sogurd...

READ MORE

MH! SHEMEJI YETU KWA WOLPER KULIKONI?

KAPO mpya inayotikisa kwa sasa Bongo ni ya muigizaji Jackline Wolper na baby wake, mwanamitindo anayeitwa Brown. Tangu kuibuka kwa...

READ MORE

Lulu Aweka Rekodi Serikali ya JPM

  IMEVUJA! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, anatajwa kuwa ndiye staa pekee wa kike Bongo aliyeweka...

READ MORE

Kajala Asimulia Mimba Yake Ilivyotoka!

MIEZI kadhaa iliyopita, mkali wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ aliripotiwa kunasa ujauzito ambao uligeuka matangazo kwenye baadhi ya...

READ MORE

Chuz Awapasua Vichwa Wanakamati

BAADA ya hivi karibuni mkongwe wa filamu Bongo, Tuesday Kihangala ‘Chuz’ kudaiwa kuwadhalilisha wasanii wa kike anaofanya nao tamthiliya huko...

READ MORE

Jimmy Mafufu Amelikimbia Jiji?

DAR ES SALAAM: Staa wa sinema za kitemi Bongo, Jimmy Mafufu amepinga vikali madai ya baadhi ya watu kuwa amelikimbia...

READ MORE

Msambwanda wa Anti Lulu Wayeyuka!

DAR ES SALAAM: Mwanadada anayesifika kwa kutingisha wowowo lake hasa awapo kwenye kundi la watu, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ amepukutika...

READ MORE

Steve Awatolea Shombo Bongo Muvi

Stori: Gladness Mallya | IJUMAA WIKIENDA DAR ES SALAAM: Baada ya kutofautiana na mastaa wenzake kwenye sakata la maandamano ya...

READ MORE

Irene Uwoya Alamba Shavu Ubalozi wa Itel Mobile

KAMPUNI ya simu za mkononi ya itel mobile Tanzania leo imetiliana saini na msanii wa Bongo Muvi, Irene Uwoya kuwa...

READ MORE

Wastara Adaiwa Kushindwa Kulipa Kodi ya Nyumba!

Ubuyu: Hamida Hassan na Gladness Mallya | IJUMAA WIKIENDA |DAR ES SALAAM Ubuyu wa mjini unamgusa staa wa sinema za...

READ MORE

Steve Nyerere Majanga Tena

NA GLADNESS MALLYA | GAZETI LA AMANI | DAR ES SALAAM Baada ya hivi karibuni nyumba yake kuvamiwa na kunyofolewa...

READ MORE

Usikose Tamthilia ya Jumba la Dhahabu Leo Saa 12:30 Jioni- Global TV Online

TAMTHILIYA ya Jumba la Dhahabu ambayo iliibua hisia za watu wengi na kutokea kupendwa na kila rika ‘soon’ itaendelea kuonekana...

READ MORE

Wasiposhtuka… Naliona Kaburi la Bongo Fleva Kama Bongo Muvi

Ommy Dimpoz SIFAEL PAUL| IJUMAA WIKIENDA | OVER THE WEEKEND SEHEMU yoyote kunapokuwa na ushindani, kunakuwa na maendeleo chanya. Kila...

READ MORE

Rayuu Afunguka Ndoa Yake Kuvunjika

NA MAYASA MARIWATA | RISASI JUMAMOSI | Mikito Nusunusu BAADA ya madai kuzagaa kuwa ndoa yake imevunjika, msanii wa filamu...

READ MORE

Presha Yataka Kutoa Uhai wa Lungi

Na Hamida Hassan | IJUMAA | STAR MIX STAA wa fi lamu za Kibongo, Lungi Mwaulanga ameibuka na kusema kuwa...

READ MORE

VIDEO: Kumbe Hii Ndiyo Sababu Kuu ya Bongo Movie Kuporomoka Sokoni!

MWIGIZAJI, Muandaaji na Msambazaji wa Filamu Bongo, William Mtitu amekiri kuwa moja kati ya mambo yanayosababisha kushuka kwa soko la...

READ MORE

Thea: Tutukaneni, Tunatetea Haki Yetu

  Stori: Gladness Mallya | RISASI JUMATANO | Za Motomoto News MSANII wa filamu za Kibongo, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ ameibuka...

READ MORE

Bodi Ya Filamu ni Jipu

  MAKALA NA: BONIFACE NGUMIJE | IJUMAA WIOKIENDA DAR ES SALAAM: Mwaka 2016, Bodi ya Filamu Tanzania iliongezewa majukumu rasmi...

READ MORE

Ishu ya Bongo Muvi Kuandamana… Nay wa Mitego, Mlela Hapatoshi

NA: GLADNESS MALLYA | IJUMAA WIKIENDA | OVER THE WEEKEND BAADA ya wiki iliyopita mastaa wa filamu kuandamana kupinga uuzaji...

READ MORE

Mgongano Huu Bongo Muvi ni Kaburi Jipya

MAKALA: ALLY KATALAMBULA | IJUMAA WIKIENDA | OVER THE WEEKEND DAR ES SALAAM: Aprili 19, mwaka huu,  baadhi ya mastaa...

READ MORE

Tazama LIVE Bongo Movies: MUWEKEZAJI

GLOBAL TV Online inakuletea bongo movie iitwayo MUWEKEZAJI kutoka kampuni maarufu ya filamu nchini 5EFFECTS. Furahia burudani ya filamu na...

READ MORE

Tazama LIVE Filamu ya ‘Muwekezaji’

USIKOSE kutazama Filamu ya kusisimua ya Kitanzania kwa lugha ya Kiswahili ‘MUWEKEZAJI’ leo Jumamosi saa 12:00 Jioni kupitia YouTube Channel...

READ MORE

VIDEO + PICHAZ: Shuhudia Uzinduzi wa Movie Mpya ya Msanii Jacob Steven ‘JB ‘

Msanii wa Filamu za Bongo Movie, Jacob Steven maarufu kama JB leo Aprili 21, 2017 amezindua filamu yake mpya inayoitwa...

READ MORE

Wema: Deni Tulilonalo ni kwa Watanzania tu

Na Salum Milongo/GPL STAA wa filamu na malkia wa mtandao Bongo, Wema Abraham Sepetu ‘Maddam’, amewafungukia wasanii walioandamana Kariakoo wakidai...

READ MORE

Niva Awaponda Wema, Uwoya Kwa Mkewe

Na IMELDA MTEMA| GAZETI LA IJUMAA| IJUMAA STAA MIX MUIGIZAJI wa kiume anayefanya vizuri Bongo, Zuberi Mohammed ‘Niva’ amefunguka kuwa...

READ MORE

Idris Sultan Atokwa Povu Ukaribu wa Wema, Gabo

Na SALUM MILONGO/GPL MSANII wa komedi Bongo na mshindi wa shindano la Big Brother Afrika 2015, Idris Sultan, ‘Dokta Mwaka’...

READ MORE

VIDEO: Steve Nyerere Ayasusia Maandamano ya Bongo Movie, Aanika Haya!

KUFUATIA maandamano ya wasanii wa Filamu nchini, Bongo Movie, ambao wameandamana leo katika mtaa wa Aggrey Kariakoo  wakipinga uingizwaji wa...

READ MORE

Shamsa Ford Yamkuta Mazito Dar

Na Salum Milongo/GPL STAA wa kutoka kiwanda cha filamu cha Bongo Muvi, Shamsa Ford ‘Chausiku’, amepata jeraha la maisha baada...

READ MORE

Jimmy Mafufu Ataka Mabachela Wapimwe Akili!

Na GLADNESS MALLYA| RISASI MCHANGANYIKO| ZA MOTOMOTO MSANII wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu amewatolea uvivu waigizaji ambao umri wa...

READ MORE

Snura Ajipanga Kumuanika Laazizi Wake

Na HAMIDA HASSAN| IJUMAA WIKIENDA| FOUR TOWN STORY DAR ES SALAAM: Staa wa mduara Bongo, Snura Mushi ‘Snusexy’ amefunguka kuwa,...

READ MORE

‘Pain For Nothing’, Ipo Hewani Muda Huu!

‘PAIN FOR NOTHING’, Sehemu ya Pili, Itazame hapa!

READ MORE

#GlobalTV: Tazama LIVE Movie ya PAIN FOR NOTHING

GLOBAL TV Online inakuletea ‘short film’ ijulikanayo kwa jina la Pain For Nothing-Part 1 kutoka kampuni maarufu ya filamu ya...

READ MORE

Ray, Mama Kanumba Kimenuka

Na MWANDISHI WETU/GPL DAR ES SALAAM: Mama mzazi wa aliyekuwa nyota wa filamu bongo, marehemu  Steven Kanumba, Flora Mtegoa siku...

READ MORE

Johari: Wasanii Huu ni Wakati wa Kupendana

STAA wa filamu nchini, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema kuwa kwa sasa wasanii wa maigizo wanapaswa kushikamana na kuondoa tofauti zao....

READ MORE

Batuli: Sina Tatizo na Uwoya

Na Mwandishi Wetu/GPL DAR ES SALAAM: Mwanamama wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ameweka wazi kuwa hana tatizo na...

READ MORE

UWOYA: Mh! kwa Nape Hapana!

Na IMELDA MTEMA/GPL IRENE Uwoya amekataa katakata kuzungumzia chochote kuhusiana na kutumbuliwa kwa aliyekuwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na...

READ MORE

Pacha wa Wema: Mimi Kauzu, Simshobokei Wema!

DAR ES SALAAM: Kuna imani kuwa duniani wawiliwawili! Hii inajidhihirisha kwa mwanadada Lisa Deedee `Tuerny’ ambaye amejipatia umaarufu mitandaoni kutokana...

READ MORE