Rose Ndauka: Mume Wangu Anapenda Sana, Mambo Mengine ni Ziada
ROSE Ndauka; ni malkia wa Bongo Movies ambaye anasema kuwa, mume wake, Hafidh anapenda sana kula chakula chake (Rose).
Akizungumza na Gazeti la IJUMAA, Rose anasema kuwa, hakuna kitu ambacho anatamani kila siku zaidi ya…
