The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

CORONA

Corona Yasalimu Amri Afrika

Kwa mara ya kwanza tangu kutangazwa kwa mlipuko wa virusi vya Omicron, Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) limesema idadi ya maambukizi mapya ya COVID-19 Afrika imepungua na hivyo basi kuleta matumaini miongoni mwa Wanasayansi. …

Roman Reigns Akutwa na Corona

Bingwa wa Mkanda wa World Wrestling Entertainment (WWE)Universal Championship, Roman Reigns amekutwa na maambukizi ya UVIKO-19 hivyo kuondolewa kwenye game ya WWE Day One PPV iliyofanyika usiku wa jana State Farm Arena huko Atlanta,…

Zitto Kabwe Akutwa na Covid-19

Kiongozi Mkuu wa ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe amesema alipimwa na kukutwa Virusi vya Corona (COVID 19) baada ya kupatwa na Mafua. Zitto anasema "Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili…

Mikoa 10 Kipaumbele Chanjo Corona

SERIKALI imepokea msaada wa chanjo ya Corona kutoka Marekani na kueleza kuwa baada ya kujiridhisha kuwa ni salama utolewaji wake utafanyika nchi nzima lakini kwa kuanza na mikoa 10 ya kipaumbele. Mikoa hiyo ya kipaumbele ni Dar es…

Kigoma Ina Wagonjwa 12 wa Corona

HABARI: Mkoa wa Kigoma umeripotiwa kuwa na wagonjwa 12 wa Corona ambapo wengine wamejitenga majumbani na wengine wanaendelea kupatiwa matibabu katika vituo vilivyoandaliwa maalumu kwa ajili ya kulazwa wenye Corona. Akisoma…