×

Tag: CUF

Majaliwa Ashuhudia Madiwani Wa CUF, ACT Wazalendo Wakirejea CCM

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa mwishoni mwa wiki hii, ameshuhudia...

READ MORE

Waliofukuzwa CUF Watema Nyongo “CUF Sio Dini”

SIKU moja baada ya Chama cha Wananchi (CUF) kutangaza kuwavua uanachama viongozi wake saba, wenyewe wamesema wao bado ni wanachama...

READ MORE

Lipumba Amwangukia Maalim Seif, Amwomba Arudi CUF

MWENYEKITI wa chama cha Civic United Front (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amemwomba aliyekuwa Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad, ...

READ MORE

Hawa Ghasia (CCM) Ashindwa Ubunge, CUF Yaibuka Kidedea

Shamsia Mtamba kupitia CUF, ametangazwa ameshinda jimbo la Mtwara Vijijini baada ya kuibuka kidedea kwa kura 26,262, dhidi ya mpinzani...

READ MORE

Mgombea Aangua Kilio Kwenye Mkutano wa Kampeni

MGOMBEA udiwani wa Kata ya Mumbaka, Masasi mkoani Mtwara, Salum Mwinyikheri, ameangua kilio mbele ya wananchi wakati akiomba kura.  ...

READ MORE

CUF Yatangaza Wagombea Ubunge 136

CHAMA Cha Wananchi (CUF) kimetoa orodha ya wagombea ubunge katika majimbo 136 kati ya 264 wa chama hicho katika uchaguzi...

READ MORE

CUF Yaanika Majina ya Wagombea Ubunge

Chama Cha Wananchi (CUF) kimepitisha majina ya wagombea Ubunge na Baraza la Wawakilishi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020....

READ MORE

Mrithi wa Maalim Seif CUF Afariki Dunia

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Khalifa Suleiman Khalifa,  amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne Machi 31 2020,...

READ MORE

CAG Abaini Madudu CUF, CCM, Amkabidhi JPM – Video

  CHAMA cha Wananchi (CUF) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), vinatajwa kwa matumizi mabaya ya fedha katika Ripoti ya Ukaguzi...

READ MORE

VIDEO: Mbunge Wa Lipumba Ajiuzulu Na Kuhamia CCM

 Mbunge wa Tandahimba Mkoani Mtwara (CUF) Katani Ahmed Katani amejiuzulu Ubunge wake na kutangaza kuhamia CCM kwenye mkutano uliofanyika...

READ MORE

Muasisi wa CUF (Mzee Mapalala) Afariki Dunia

MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania na mwanzilishi wa Chama cha Wananchi, Mzee James Mapalala amefariki dunia jana Jumatano Oktoba 23, 2019,...

READ MORE

CUF, ACT Wazalendo, Vita Yapamba Moto, Kuburuzana Mahakamani- Video

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Khalifa Suleiman Khalifa amesema wamefungua kesi ya kiraia mahakama kuu ya Vuga visiwani...

READ MORE

Mbunge Amtosa Maalim Seif Mchana Kweupe, Amfuata Prof. Lipumba – Video

Mbunge wa Mchinga, Hamidu Bobali ambaye awali alikuwa akimuunga mkono Maalim Seif Sharif Hamad ndani ya CUF, sasa ametangaza kumuunga...

READ MORE

BREAKING: Prof. LIPUMBA amuonya Maalim Seif na Kundi Lake – VIDEO

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema chama hicho hakitawavumilia wanaopora mali za chama hicho na kuzihamishia...

READ MORE

Lipumba: Maalim Seif Ataiongezea ACT-Wazalendo ‘Damu Yenye Virusi’ – VIDEO

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Haruna, amesema aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Seifa Sharif Hamad, amekwenda...

READ MORE

BREAKING: ZITTO AMKABIDHI KAZI MAALIM SEIF – VIDEO

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe,  amemkabidhi maalim Seif Hamad kadi namba moja ya chama hicho ambayo imeshalipiwa kwa...

READ MORE

MJADALA HOT: MAALIM SEIF KUHAMIA ACT-WAZALENDO, TUTEGEMEE NINI?

ALIYEKUWA muasisi na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, jana amekihama chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo.  ...

READ MORE

KAULI YA DK MASHINJI BAADA YA MAALIM SEIF KUTIMKIA ACT WAZALENZO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Vincent Mashinji amempongeza aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi...

READ MORE

BREAKING NEWS: Maalim Seif Atangaza Kuhamia ACT-Wazalendo – Video

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad,  leo Jumatatu Machi 18, 2019, ametangaza yeye, viongozi...

READ MORE

PEMBA: OFISI ZA CUF ‘ZABADILISHWA’ KUWA ZA ACT-WAZALENDO

TASWIRA katika Chama cha Wananchi (CUF) inazidi kunoga! Hivi ndivyo unavyoweza kusema kufuatia baadhi ya ofisi za chama hicho Zanzibar...

READ MORE

Breaking: Prof Lipumba Ashinda Kesi, Sasa Ni Mwenyekiti Halali wa CUF

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo, Machi 18, 2019,  imetoa hukumu inayotambua Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kuwa Mwenyekiti...

READ MORE

Polisi vs ‘CUF ya Lipumba’ Hapatoshi

MKUTANO Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), upande wa Profesa Ibrahim Lipumba, umesimama baada ya kutokea kutoelewana baina ya viongozi...

READ MORE

Prof. Lipumba, Maalim Seif Waendeleza Ubabe

CHAMA Cha Wananchi (CUF) upande wa Mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama Vya Siasa, Profesa...

READ MORE

MAHAKAMA YATENGUA WAJUMBE WA LIPUMBA, YAIFUTA BODI YAKE

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Februari 18, 2019, imetengua uteuzi wa wajumbe wa bodi ya...

READ MORE

BREAKING: ZITTO AFANYA MAAMUZI MAGUMU, AISHIKA PABAYA SERIKALI – VIDEO

KIONGOZI wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na viongozi wenzake wa vyama vya upinzani nchini, Joran Lwehabula Bashange na...

READ MORE

BREAKING: Mtolea Akichukua Fomu ya Ubunge Temeke – VIDEO

Aliyekuwa Mbunge wa Temeke kwa tiketi ya Chama cha Wananchi CUF, Abdallah Mtolea, amechukua tena fomu ya kugombea Ubunge katika...

READ MORE

HATIMAE MBUNGE ‘BWEGE’ NA WENZAKE WACHIWA HURU

VIONGOZI watatu wa Chama cha Wananchi (CUF) leo Ijumaa, Novemba 23, 2018 wameachiwa, baada ya kukamilisha masharti ya dhamana, yaliyowekwa...

READ MORE

MAHAKAMA YAMWACHIA BWEGE, POLISI WAMSWEKA RUMANDE

MAHAKAMA ya Mkoa wa Lindi imemwachia kwa dhamana Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF), Suleiman Bungara maarufu kwa jina la Bwege na...

READ MORE

Breaking News: Bwege, Maharagande Wafikishwa Mahakamani

VIONGOZI wa ngazi ya juu wa Chama Cha Wananchi (CUF), ambao ni Mbunge wa Kilwa Kusini, Suleiman Bungara maarufu kwa...

READ MORE

Lipumba: CUF Liwale Wanakamatwa, Kupigwa na Kuwekwa Ndani – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa amesema kuna njama...

READ MORE

Kimenuka! CHADEMA, CCM Wachapana Ngumi Dar

JANA Jumatano, Oktoba 3, 2018 kulitokea tukio la aina yake kwenye Ukumbi wa Anatoglo uliopo Manispaa ya Ilala jijini Dar...

READ MORE

BREAKING: Lipumba Anga’ka! Wanachama Wake Kukamatwa Kibiti! – VIDEO

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amelaani vikali tukio la viongozi wake wa Wilaya ya Kibiti na...

READ MORE

EXCLUSIVE: MTATIRO Aanika A-Z Mgogoro CUF – VIDEO

Global TV imefanya mahojiano na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro ambaye ametimkia...

READ MORE

BREAKING NEWS: Maalim Seif Kutua Chadema Kuwania Urais- Video

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema endapo migogoro ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) itaendelea basi watamshawishi Katibu Mkuu...

READ MORE

NEC Yatangaza Uchaguzi Jimbo la Kuchauka Aliyetimkia CCM

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa Jimbo la Liwale Mkoa wa Lindi, kufutia kujiuzulu kwa alieyekuwa...

READ MORE

CUF Waanika Mchezo Mchafu Waliyofanyiwa Kwenye Uchaguzi – Video

Chama cha Wananchi (CUF) kimezungumza na waandishi wa habari leo na kuelezea kila walichokiona katika uchaguzi mdogo uliofanyika Agosti 12...

READ MORE

BREAKING: MBUNGE ZUBERI WA CUF AHAMIA CCM – VIDEO

Mbunge wa Liwale, Lindi kwa tiketi ya CUF, Zuberi Kuchauka ametangaza kukihama chama hicho leo Agosti 13, 2018 na kurejea...

READ MORE

BREAKING: Madiwani Wawili CUF Wahamia CCM – Video

Chama Cha Wananchi (CUF) kimeendelea kupata pigo, baada ya madiwani wake wawili kujivua uanachama wa chama hicho na kuhamia Chama...

READ MORE

CUF YALAANI KUENGULIWA KINYANG’ANYIRO UDIWANI UBUNGO

    CHAMA cha Wananchi (CUF) Wilaya ya Ubungo kimelaani na kupina mpango wa  kuenguliwa kwa mgombea wao wa udiwani,...

READ MORE