The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Dar es salaam

Dkt. Mayala ashusha nondo 5 za kiongozi bora

MTAALAM wa ushauri wa mambo ya uongozi, utawala na menejimenti, Mchungaji Dk. Joseph Mayala, ametaja mambo matano ambayo kiongozi anatakiwa kuwa nayo ili kufikia malengo ya taasisi au jamii anayoiongoza. Akizungumza katika…

MAJI TAKA DAR, MWAROBAINI WAPATIKANA

KAMPUNI ya Borda ya jijini Dar es Salaam imeanzisha huduma ya utunzaji wa mazingiya inayotambulika kama  'Choo Rafiki'  yenye lengo la kupambana na utiririshaji maji taka hovyo. Meneja wa Manispaa Kinondoni, Ramadhani Mabula,…

INAUMA! KIGOGO AMLAZA MJANE KICHAKANI

KIGOGO mmoja mkubwa nchini, anadaiwa kumlaza kichakani mama mjane aitwaye Irene Mbusye maarufu kama Mama Jenny, baada ya kushirikiana na benki, kununua nyumba yake ya ghorofa, iliyopo Mbezi beach jijini Dar es Salaam, kisha…

MAJUTO: SITAKI KUFA NA MTU

KOMEDIANI mwenye jina kubwa Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’, amevunja ukimya kuwa, katika umri alionao kwa sasa wa zaidi ya miaka sitini, hataki kulumbana na mtu maana siku zake za kuishi zimebaki chache asije akafa na mtu.…

JENNIFER WA KANUMBA ACHAFUKA MITANDAONI

MTOTO ‘mtukutu’ aliyejizolea umaarufu mkubwa kupitia filamu za marehemu Kanumba, Hanifa Daudi amekumbwa na kashfa ya kitapeli, kufuatia watu wasiojulikana kufungua akaunti feki ya jina lake kwenye Mtandao wa Facebook na Instagram na…

Madenti Washindiliwa Kwenye Buti!

DAR ES SALAAM: Usafiri kafiri! Hali ya usafiri katika baadhi ya maeneo ya pembezoni mkoani Dar es Salaam ni mbaya, kiasi kwamba katika eneo la Kimara Mwisho, njia iendayo King’ong’o na Matosa, usafiri pekee wa Noah unawalazimisha…