×

Tag: Diamond

Diamond Akiwasha Mbaya Tuzo za Grammy

SUPASTAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz ameingia kwenye rekodi ya kuwa msanii wa kwanza kutoka...

READ MORE

Best 20 Mastaa Waliokomba Mirahaba ya Nguvu COSOTA

SERIKALI ya Tanzania kupitia Chama cha Haki Miliki (COSOTA) imeanza zoezi la ugawaji wa mirabaha kama alivyoagiza Rais Samia Suluhu...

READ MORE

Wababe Waliotazamwa Zaidi YouTube Mwaka 2021

MTANDAO wa YouTube umeachia orodha ya wasanii 10 waliopata watazamaji wengi katika mtandao wa YouTube kwa 2021 ndani ya nchi...

READ MORE

Mama Dangote Amsifia Wema Sepetu

MAMA mzazi wa supastaa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz, Bi. Sanura Kasimu almaarufu Mama Dangote amesifia aliyekuwa mpenzi wa zamani...

READ MORE

Mastaa: Lazima Tufunge Ndoa Mwaka Huu

“LAZIMA tufunge ndoa mwaka huu!” Hii ni kauli ya baadhi ya mastaa nchini Tanzania wakionesha kuchoshwa na maisha ya uchumba...

READ MORE

Ulinzi wa Mondi Kama Rais Nigeria

STAA wa muziki wa Afro-Pop barani Afrika, Diamond Platnumz ameteka hisia za wengi katika Jiji la Lagos nchini Nigeria baada...

READ MORE

Vee Money, Diamond Kwenye Tuzo Moja na Beyonce

Pamoja na Mwanadada Vanessa Mdee kuachana kabisa na mambo ya mziki na kuamua kufanya mambo mengine,ametwaja kuwania tuzo kubwa za...

READ MORE

Hadija Kopa Abariki Ndoa ya Diamond na Zuchu

MALKIA wa mipasho Bongo, Hadija Omary Kopa amesema haoni tatizo kwa msanii Diamond Platnumz kumuoa mtoto wake Zuchu kwa kuwa...

READ MORE

Diamond Ampongeza Dkt. Ackson Tulia

Staa na Rais wa Lebo ya WCB, Diamond Platnumz ampongeza Tulia Ackson kwa kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa...

READ MORE

Diamond Amlipia Tiffah Milioni 50

DIAMOND Platinumz ni staa mkubwa wa muziki barani Afrika; ni staa mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mitandao ya kijamii kwa...

READ MORE

Zari Akana Madai ya Diamond Kununua Vitu vya Ndani Sauzi

MWANASOSHOLAITI na mfanyabiashara mashuhuri kutoka Uganda Zari Hassan na ambaye anaishi Afrika Kusini amechapisha video inayoonyesha akishiriki mazungumzo na mtoto wake...

READ MORE

Nay wa Mitego: Nimechoka Kuulizwa Kuhusu Diamond

Ushkaji wa Diamond na Nay wa Mitego mara nyingi umekuwa ukisemekana kuingia dosari na hii inatokana na wawili hao kutoonekana...

READ MORE

Diamond Mabodigadi Hadi Msibani?

MBWEMBWE za staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kutembea na mabogadi hadi msibani zimeelezwa ni aina f’lani ya ushamba.  ...

READ MORE

Mrembo: Nipo na Mondi Miaka 3 Sasa!

“NDIYO, ni mwaka wa tatu sasa nipo naye katika mahusiano!” Ni kauli nzito iliyotolwewa na mrembo maarufu katika mitandao ya...

READ MORE

Mastaa Bongo Walionoga na Ndinga Kali

MWAKA 2021 hauwezi kusahaulika kwa baadhi ya wasanii au watu walio kwenye tasnia ya muziki Bongo kwani kuna walionunua magari...

READ MORE

Harmo, Rayvanny Wamaliza Mwaka na Kinyongo

ZIKIWA zimesalia saa kadhaa kwa mwaka 2021 kupinduka na kuingia Mwaka Mpya wa 2022, miongoni mwa mastaa wakubwa wanaomaliza mwaka...

READ MORE

Diamond Apewe Sifa Anapostahili

KOMEDIANI kutoka nchini Kenya, Eric Omondi anasema kuwa, kwa ukanda wa Afrika Mashariki, msanii Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz ndiye...

READ MORE

Kolabo Kali Zilizotikisa Zaidi Bongo 2021

WASANII kufanya kazi kwa ushirikiano (kolabo) na wasanii wengine ama kutoka ndani au nje ya Tanzania ili kutengeneza kazi nzuri,...

READ MORE

Mwijaku Ampa Somo Zuchu: Mkamate kwa Busara

MOJA kati ya headlines zinazo gonga vichwa vya habari mtandaoni ni issue inayomtaja mwanamuziki Diamond Platnumz kutaka kumuoa mwanamuziki mwenzake...

READ MORE

Mirabaha ya Wasanii Gizani

SERIKALI ilisema itaanza kulipa mirahaba ya kazi za wasanii kuanzia Desemba mwaka huu kupitia makusanyo yatakayopatikana kwenye vyombo vya habari...

READ MORE

Diamond Anapenda Kuwa Juu Peke Yake?

MIONGONI mwa mjadala mkali unaoendelea ni juu ya staa wa muziki barani Afrika, Diamond Platnumz kudaiwa kupenda kuwa juu peke...

READ MORE

Sallam Afungukia Wasanii vs Management

MENEJA wa Supastaa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Sallam Ahmed Sharaff maarufu kama Sallam Sk au Mendez atatua...

READ MORE

Omondi: Afrika Mashariki Msanii ni Diamond Pekee

Kutoka 254 Kenya mchekeshaji Eric Omondi anasema kwa Afrika Mashariki Diamond Platnumz ndio msanii anayemtambua na anastahili kupewa sifa hizo....

READ MORE

Marioo ni Mkali Kuliko Diamond, Ali Kiba Wala Harmonize

MWAKA 2021 umeenda vizuri sana kwa upande wa Marioo, kwa ngoma kali alizotoa Inatosha kusema kwamba Marioo ndio muimbaji bora...

READ MORE

Mwijaku Ashindwa Kujizuia, Ammwagia Misifa Mondi

Mtangazaji na mwanamitandao maarufu kama DC wa insta Mwijaku ameshindwa kujizuia kusifia video mpya ya mwanamuziki Diamond Platnumz ‘Unachezaje iliyotoka...

READ MORE

Majibu ya Esma Kuhusu Diamond Kumuoa Zuchu

BAADA ya kuwepo kwa tetesi nyingi mitandaoni juu ya staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kuwa mbioni kumuoa Zuchu, dada...

READ MORE

#Carabao: Tottenham Yaitungua West Ham

Mabao ya kipindi cha kwanza ya Steven Berwigijn na Lucas Moura yameiwezesha Tottenham Hotspur kufuzu hatua ya nusu fainali kombe...

READ MORE

Mwonekano wa Mondi Kama Rapa Rick Ross

MIONGONI mwa mambo yaliyozua minong’ono pale Mlimani City jijini Dar, wikiendi iliyopita wakati staa wa muziki Afrika, Diamond Platnumz akizindua...

READ MORE

Diamond Anyakua Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume AFRIMMA

SUPASTAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul “Diamond Platnumz” ameshinda tuzo ya Msanii Bora wa Kiume Africa Mashariki katika sherehe za...

READ MORE

Diamond Analipa Kodi Tsh bil 1.7 kwa Mwaka

Staa wa muziki Tanzania na Africa kwa ujumla Diamond Platnumz ameweka wazi kiasi cha kodi anacholipa kwa mwaka ambapo ni...

READ MORE

Video: Mondi, Ummy, Kigwangalla, Wasira, Dewji Kwenye Mjadala Mzito

MAWAZIRI Ummy Mwalimu, Liberata Mulamula, Mbunge Hamis Kigwangala, mfanyabiashara Azim Dewji na mwanamuziki Diamond Platinumz, leo Desemba 07, wameshiriki kwenye...

READ MORE

Fella: Bongo Hakuna Msanii wa Kulinganishwa na Diamond

MENEJA wa Diamond Platnumz, Mkubwa Fella amesisitiza kwamba mwanamuziki anayewakilisha ndiye kigogo wa muziki nchini Tanzania.   Akizungumza na moja...

READ MORE

Zari Akana Kumpa Penzi Diamond Tangu Waachane

MWANAMAMA tajiri Afrika Mashariki mwenye maskani yake Afrika Kusini, Zari The Boss Lady amekana kumpa penzi mzazi mwenzake, Diamond Platnumz...

READ MORE

Huu Sasa ni Ukorofi! Kufuru ya Mondi Asikwambie Mtu

MZEE wa Vikao almaarufu Aristotee amesimamisha Jiji la Dar baada ya kufunga ndoa ya aina yake iliyoudhuriwa na mastaa kibao...

READ MORE

Mondi, Harmo Kikaangoni Skendo Dawa za Kulevya

NGOMA nzito! Wasanii wawili wakubwa nchini Tanzania, Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz na Rajabu Abdul au Harmonize wapo kikaangoni baada...

READ MORE

Mama Dangote: Nafurahi Kuona Diamond na Watoto Wake

MAMA mzazi wa staa mkubwa wa muziki barani Afrika, Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz, Sanura Kassim anasema kuwa, anafurahi mno...

READ MORE

Diamond Naye Aamua, Amkataa Mazima Harmo

Siku kadhaa zilizopita miongoni mwa story kubwa ilikuwa kuhusu msanii na C.E.O wa Konde Music Worldwide Harmonize kumuondoa msanii na...

READ MORE

Ray C Atema Nyongo: Vita ya Harmo na Mondi Itasababisha Mauti

Kwa haraka haraka tu kama hichwa chako kunafanya kazi! Unadhani mwisho wa haya yanayoendelea utakuwa ni nini? Kwangu naona mauti...

READ MORE

Harmonize: Nafikiria Kufuta Tatuu ya Diamond

MWANAMUZIKI Harmonize, jana Alhamisi, Novemba 18, 2021 amerejea nchini akitokea Marekani alipokwenda kufanya shoo zake baada ya kutua nchini ameongea...

READ MORE

Diamond, Harmonize Wachafuana Kupita Maelezo

WAKATI baadhi ya mashabiki wa muziki wa bongo fleva wakiendelea kuomba siku moja walau mara moja itokee msanii Diamond Platnumz...

READ MORE