The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

LISSU

Alichosema Hakimu Kesi ya Lissu

HAKIMU wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Thomas Simba, ameahirisha kesi inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema ), Tundu Lissu na wenzake ya kuchapisha habari ya uchochezi kinyume na Sheria ya…

Tundu Lissu Akamatwa na Polisi, Aachiwa

ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amekamatwa na Jeshi la Polisi jioni ya bleo Jumatatu, Novemba 2, 2020 jijini Dar es Salaam. …

Lissu Agomea Wito wa IGP Sirro

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amekataa kuitikia wito uliotolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, uliotolewa jana ukimtaka aripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro.…

Lissu Akana Kupokea Wito NEC

MGOMBEA urais kupitia, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amesema kuwa hajapokea malalamiko yoyote kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), yanayohusu mwenendo wa ufanyaji wa kampeni zake huku akidai kuwa…

Tundu Lissu Aitwa NEC Kujieleza

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt.…

Chadema Yaahidi Kufufua Pamba Tabora

MGOMBEA mwenza wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Salum Mwalimu, amesema iwapo chama hicho kitaingia madarakani kitahakikisha watu wa mkoa wa Tabora wanarudishiwa kilimo cha zao la pamba na kuhakikishiwa upatikanaji wa soko…

Lissu, Magufuli Kukutana Kigoma

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia chama kikuu cha upinzani nchini, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) atakuwa leo, Septemba 19, 2020,  atakuwa mkoa mmoja wa Kigoma na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),…

Magufuli, Lissu Uamuzi Mgumu

MOTO wa kampeni za Uchaguzi Mkuu, umeendelea kukolea na kuwaacha wananchi katika wakati mgumu wa kutafakari mgombea watakayempatia ushindi ifikapo Oktoba 28 mwaka huu, UWAZI linachambua. Hayo yanajiri wakati…

Kilichotokea Mahakamni Kesi ya Lissu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo Septemba 14, 2020, imeahirisha kesi inayowakabili Tundu Lissu na wenzake ya kuandika habari za uchochezi kinyume na sheria ya magazeti ya mwaka 2002, baada ya washitakiwa wawili…

Lissu Aahidi Bima za Afya Nchi Nzima

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Antipas Lissu, ameahidi kuwa iwapo atachagukliwa kuwa rais atahakikisha kila Mtanzania anapata bima ya afya ili kuweza kumudu…