The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

LISSU

MSHANGAO NYUMBANI KWA LISSU

WAKATI Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ‘akiwachimba biti’ waliompiga risasi na kumuacha na kilema, mshangao umeibuka nyumbani kwake Tegeta jijini Dar kutokana na mazingira ya ukimya yaliyopo huku ikidaiwa kuwa hakuna anayeishi…

AFYA YA LISSU GUMZO 2020!

MIONGONI mwa matukio yaliyozungumzwa sana tangu mwishoni mwa mwaka 2017 mpaka sasa ni kupigwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na masikio ya wengi yamekuwa yakitamani kujua anaendeleaje. Picha, video, sauti na…

Hatimaye Tundu Lissu Kutua Dar

MBUNGE wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu (50) aliyelazwa nchini Ubelgiji anatarajiwa kurejea nyumbani siku yoyote kuanzia juzi, baada ya madaktari kumaliza kumpatia matibabu, amesema. Lissu ambaye amekuwa…