×

Tag: muliro

Muliro Azungumzia Tukio la Mwanamke Mkazi wa Sinza Aliyejeruhiwa kwa Risasi

  KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amethibitisha tukio la Mwanamke aitwaye Mariam mkazi wa...

READ MORE

Majambazi Watatu Wauawa Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema limewaua watu watatu wanaodaiwa kuwa majambazi waliokuwa katika mpango wa...

READ MORE

Waliomuua Mwanamke Gesti Wakiri Kupewa Mil 1.7

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linawashikilia Watu wawili wanaodaiwa kula njama na baadaye kumuua Mwanamke mmoja...

READ MORE

Mwanafunzi UDSM Afariki kwa Kujirusha Ghrofani Baada ya Kuiba

MWANAFUNZI mmoja aitwaye Manawa Samson Horera (22) ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Shahada ya kwanza ya Uhasibu...

READ MORE

Watoto Wawili Wafia Ndani ya Gari Mama Akiwa Ibadani – Video

WATOTO wawili wa familia moja wamekutwa wamekufa ndani ya gari aina ya (Nissan Double Cabin) kwa kukosa hewa baada ya...

READ MORE

Wanyang’anyi Watiwa Nguvuni Mabwepande

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewakamata watu 61 wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu ambapo saba kati...

READ MORE

Muliro: Cobra na Wenzake Tumewakamata

Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema jeshi la polisi limeendesha oparesheni maalum ya kuwasaka...

READ MORE

Polisi Yanasa Genge la Wahalifu Dar

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawasikilia watuhumiwa nane kwa tuhuma za kijihusisha na vitendo vya kihalifu...

READ MORE

Polisi Dar: Salimisheni Silaha Zenu

IKIWA ni siku chache baada ya Waziri wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi, George Simbachawene kutoa msamaha kwa...

READ MORE

Wanaliowafumania Wapenzi na Kusambaza Picha za Utupu Wanaswa

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu sita kwa tuhuma za kuwashambulia na kuwarekodi video za...

READ MORE

Mabadiliko Jeshi la Polisi, Muliro Dar, Muroto Astaafu

  MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro leo tarehe 31.5.2021 amefanya mabadiliko madogo kwa Makamanda wa Polisi...

READ MORE

Mwanajeshi Aliyempiga Refa Ashughulikiwa na Polisi – Video

Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayedaiwa kumpiga mwaamuzi Fadhil Maka aliyekuwa akichezesha mchezo kati ya Pamba FC na...

READ MORE

Mwanza: Polisi Yazima Tukio la Ujambazi Benki ya CRDB

TUKIO hili limetokea usiku wa Julai 07, 2020, majira ya saa 8.00 za usiku katika Benki ya CRDB, Tawi la...

READ MORE

RPC Afunguka Madai ya Vichwa vya Watoto Kukutwa Kituo cha Polisi – Video

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mwanza Jumanne Muliro amekanusha uvumi uliosambaa jana wa kukutwa vichwa vya watoto kituo cha polisi...

READ MORE

Wafuasi 3 wa Chadema waliojeruhiwa Kwa Risasi Wafikishwa Mahakamani

Wafuasi 3 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliojeruhiwa kwa risasi wakati Polisi wakitawanya waandamanaji Kinondoni wafikishwa Mahakamani Makada...

READ MORE

Polisi Yakiri Kuwashikilia Waliojeruhiwa Kwenye Maandamano ya Chadema

JESHI la Polisi kupitia Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Muliro Jumanne limethibitisha kuwashikilia watuhumiwa watatu wenye majeraha ya...

READ MORE