Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Nitajirike-20
ILIPOISHIA
Sikuuona msaada wowote wa mlinzi kwani wakati watu hao wakiingia, yeye alikuwa amelala kitu kilichonifanya kukosa amani, wakati mwingine nikahisi kwamba hiyo ndiyo ilikuwa siku yangu ya kufa.
“Ngo...ngo...ngo..” nilisikia…