The House of Favourite Newspapers

Usikurupukie Ndoa, Wengi Wameumia!

HAKUNA anayebisha kwamba ndoa ni jambo la msingi sana katika maisha ya kila binadamu. Aidha, kuoa ama kuolewa ni heshima katika jamii na ndiyo maana leo hii wapo wanaofanya kadiri wawezavyo kuhakikisha wanapata watu wa kuwa nao…

Rais Samia Kufanya Ziara Mwanza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya siku moja ya kikazi Novemba 18, mwaka huu kwa lengo la kuhudhuria maazimisho ya Jubilee ya Miaka 50 ya Hospitali ya Bugando. …

Vijana Mwanza Watakiwa Kujiajiri

Wanachama wa Kikundi cha Wafanyabiashara na Watumishi wa Umma  Marafiki kutoka jijini  Mwanza maarufu ‘Mwanza Friends Association’ wanaofanya shughuli zao kwenye mikoa mbalimbali nchini Tanzania wamewataka vijana kujiajiri ili kupunguza…

Nabii Natasha Aongeza Upako Shilo 2019

MTUMISHI wa Mungu Nabii Lucy Natasha kutoka nchini Kenya, ametua nchini leo Alhamisi, Desemba 19, 2019, na kushusha upako katika Tamasha la Shilo lililofanyika katika Kanisa la Mlima wa Moto lililopo Mikocheni ‘B’ jijini Dar es Salaam.…

G Nako ahamia Kwa Watoto Wa Kike

WAKATI may 28 ilikuwa ni kilele cha maadhimisho ya Siku ya Hedhi Duniani, rapa anayefanya poa kutoka Kundi la Weusi, George Sixtus Mdemu ‘ G Nako’ ameelezea alivyofanikiwa kupitia mfuko wake wa kusaidia watoto wa kike (G Nako for the…