Mauaji ya Kikatili Yamzeesha Mkuu wa Wilaya ya Njombe
MKUU wa Wilaya ya Njombe ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Kissa Kasongwa ametangaza vita kwa mwananchi yeyote atakaye tekeleza mauaji kwa sababu mbalimbali ikiwemo migogoro ya ardhi wilayani humo.
…
