Tshishimbi Achekelea Kurudi Bongo
NAHODHA wa zamani wa Yanga, raia wa DR Congo, Papy Tshishimbi, amefunguka kuwa anafurahi kurudi Tanzania na kucheza soka kama ilivyokuwa awali.
Papy alisema Tanzania ni nchi ambayo aliishi kwa upendo, furaha na amani na…
