Rais Samia Ateua Tena, Ampeleka Mchechu Hazina, Hamad Apelekwa NHC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Nehemia Kyando Mchechu kuwa Msajili wa Hazina kabla ya uteuzi huo alikuwa mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Tifa NHC, Mchechu anachukua nafasi ya Mgonya Benedicto…
