Wema Sepetu Afunguka Mazito Akataa Aibu, Napenda Kuigiza, Kuimba Siwezi
				WEMA Isaac Sepetu; ni muigizaji mkubwa nchini Tanzania ambaye amesema kuwa hana mpango wa kujitosa kwenye muziki wa Bongo Fleva kama ambavyo baadhi ya watu wanafikiria.
 
Wema au Last Born wa Taifa anasema kuwa, ana uwezo wa…			
				 
			