The House of Favourite Newspapers
gunners X

Tamasha la Mziki Mnene Lazinduliwa Kw Kishindo Tabata

0

Tamasha la Mziki Mnene linaloandaliwa na kituo kinachofanya vyema nchini Tanzania E-FM Radio, lilianza hivi karibuni kwa shauku kubwa ambapo wanafamilia wa E-FM waliziamsha shamrashamra kwa kufanya jogging ili wakaungane na wakazi wa Tabata.

Jogging ilinogeshwa na msanii Harmorapa maarufu kwa jina la Mr Kiki kutokana na kujizolea umaarufu kwa muda mfupi kupitia mitandao ya kijamii.

Leave A Reply