The House of Favourite Newspapers
gunners X

Wasanii Walivyokamua Kwenye Komaa ‘Concert’ ya EFM

0

1. Wasanii wa kitambo kwenye muziki wa Bongo Fleva Mabaga Fresh wakifanya yao kwenye jukwaa la Komaa Concert ambao walitamba na ngoma zao kama Tunatahabika, Mtulize na zingine kali.

Wasanii wa kitambo kwenye Muziki wa Bongo Fleva, Mabaga Fresh wakifanya yao kwenye jukwaa la Komaa Concert ambao walitamba na ngoma zao zikiwemo Tunataabika na  Mtulize.
4. Mc Koba moja kati ya msanii aliye wahi kuunda kundi lililofahamika kama Watu Pori, akiimba kwenye show ya Komaa Concert iliyofanyika katika viwanja vya Posta Kijito Nyama

Mmoja kati ya wasanii waliokuwa wanaunda Kundi la Watu Pori, Mc Koba akifanya yake kwenye steji.

7. Malaika ni moja kati ya wasanii aliyewarusha mashabiki kutoka viwanja vya Posta Kijito Nyama

Msanii wa Bongo Fleva, Malaika naye hakuwa nyuma kwenye tamasha hilo.

10. Kala Jereamiah msanii wa Hip pop akiimba kwenye tamasha la Komaa Concert lililoandaliwa na kituo cha radio cha Efm

 Msanii wa Hip Hop, Kala Jeremiah akikamua.

15. Mwana Hip Pop kutoka Tanga Roma Mkatoriki ni moja kati ya watu waliofanya poa kwenye jukwaa hilo

Roma Mkatoliki akiwapagawisha mashabiki waliofurika kupata burudani.

18. Snura aiyejipatia umaharufu baada ya kutoa nyimbo yake ya Chura

 Snura akikamua stejini.

Picha na Hilaly Daud / GPL

Leave A Reply