The House of Favourite Newspapers

Waziri Mkuu Ashiriki Swala Ya Eid Katika Msikiti wa Mfalme, Muhammad wa Sita wa Morocco, Dar

0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Bin Zubeir, wakati aliposhiriki sala ya Idd El Fitri, iliyosaliwa kitaifa katika Msikiti wa Mfalme, Muhammad wa Sita wa Morocco, ulioko Kinondoni, jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 3, 2022 ameshiriki Swala ya Eid El Fitri pamoja na Waumini wengine wa dini ya Kiislamu katika Msikiti wa Mfalme, Muhammad wa Sita wa Morocco, ulioko Kinondoni, jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki sala ya Idd El Fitri, iliyosaliwa kitaifa katika Msikiti wa Mfalme, Muhammad wa Sita wa Morocco, ulioko Kinondoni, jijini Dar es Salaam. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisikiliza mawaidha yaliyotolewa na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Bin Zubeir, baada ya sala ya Idd El Fitri, iliyosaliwa kitaifa katika Msikiti wa Mfalme, Muhammad wa Sita wa Morocco, ulioko Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Mei 1, 2022.

Leave A Reply