Mchezaji wa Mbao FC Agongana na Mchezaji wa Mwadui FC, Afariki Uwanjani!
“Tukajaribu kumsaidia kumpatia huduma madaktari wa timu zote pamoja na msalaba mwekundu tukasaidiana kumpeleka hospitali.”
“Wakati huo timu yetu ilikuwa ikiongoza kwa goli 1-0 goli lililofungwa na marehem Ismail Khalfan na jingine lilifungwa wakati mimi sipo nikiwa nimeenda hospitali.”
Comments are closed.