“Tukajaribu kumsaidia kumpatia huduma madaktari wa timu zote pamoja na msalaba mwekundu tukasaidiana kumpeleka hospitali.”

“Wakati huo timu yetu ilikuwa ikiongoza kwa goli 1-0 goli lililofungwa na marehem Ismail Khalfan na jingine lilifungwa wakati mimi sipo nikiwa nimeenda hospitali.”