Browsing Category
Ajira
Halmashauri Tano Zatangaza Nafasi za Kazi mpya Septemba 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri za Wilaya husika anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi kuomba nafasi za kazi zilizotolewa, kufuatia vibali vya ajira kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na…
Fursa za Ajira SUA 2025 – Walimu, Wasaidizi na Nafasi Nyingine
Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) kilianzishwa tarehe 1 Julai 1984 kwa Sheria ya Bunge Na. 6 ya mwaka huo, ambayo baadaye ilifutwa na Sheria ya Vyuo Vikuu Na. 7 ya 2005 na hatimaye SUA ikapewa Hati ya Chuo mwaka 2007. Chuo kina dira ya kuwa…
Nafasi 29 za Kazi Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya – Deadline 24 Agosti 2025
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kilianzishwa kutokana na mabadiliko ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Mbeya (MIST) kupitia Sheria ya Vyuo Vikuu Na. 7 ya mwaka 2005 na Katiba ya MUST ya mwaka 2013.
Dira ya Chuo ni…
Serikali Yatangaza Nafasi 199 za Ajira kwa Watanzania
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (MDA’s na LGA’s), ametangaza nafasi 199 za ajira mpya na kuwataka Watanzania wenye sifa na uwezo kuwasilisha…
Nafasi za Kazi 73 Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT)
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi sabini na tatu (73) kama…
Nafasi 195 za Kazi Taasisi Mbalimbali Za Umma
Sekretarieti ya Ajira Serikalini (PSRS) inawatangazia Watanzania wenye sifa stahiki kuwasilisha maombi ya kazi kwa ajili ya kujaza nafasi 195 kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
Waombaji wanapaswa kufuata miongozo yote…
MoCU Yatangaza Nafasi za Kazi za Kitaaluma, Moshi na Shinyanga
Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) kinakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa stahiki ili kuzingatiwa kwa ajira katika nafasi mbalimbali za kazi za kitaaluma zilizopo katika Kampasi Kuu iliyoko Moshi na Taasisi ya Ushirika…
Unatafuta Kazi Serikalini? Hizi Hapa Fursa Mpya Kutoka Sengerema!
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema amepokea kibali cha kutekeleza Ikama na Bajeti kwa Ajira Mpya kwa mwaka wa fedha 2024/2025 chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili,
2025 kutoka kwa Katibu Mkuu…
Makete Yatangaza Nafasi 12 za Kazi kwa Kada ya Udereva
Halmashauri ya Wilaya ya Makete kupitia Kibali cha Ajira mpya chenye Kibali chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025 chenye kada ya Dereva Daraja la II nafasi (12) kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya…
Nafasi za Kazi: Maafisa Mikopo 10 Wahitajika Haraka Wezesha Mzawa
Wezesha Mzawa Microfinance inakaribisha maombi kutoka kwa watu wenye hamasa na sifa stahiki kujiunga kama Maafisa Mikopo (Nafasi 10).
Sifa za Muombaji:
✔️ Shahada ya kwanza au Stashahada ya Juu katika Fedha, Uchumi,…
Nafasi za Kazi 526 Mweka, Muhimbili, TBC, NECTA, DIT, Mwisho maombi Julai 27
Jumla ya nafasi mia tano ishirini na sita (526) zinapatikana kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
Waombaji wote wanapaswa kuwa na sifa zinazokidhi vigezo vilivyobainishwa kwa kila nafasi husika, na wawe tayari kufanya kazi kwa…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Mkuranga, Mwisho wa maombi Julai 28
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga imepokea kibali cha Ajira mpya chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025 kwa nafasi ya Dereva Daraja la II na Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Manispaa Ya Songea, Mwisho wa maombi Julai 24
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea amepokea kibali cha Ajira Mpya chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Hivyo,…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Bahi, Mwisho wa maombi Julai 14
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi amepokea kibali kuhusu utekelezaji wa ajira mpya katika Mwaka wa fedha 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utmushi wa Umma na Utawala Bora.
Hivyo…
INEC Yatangaza Nafasi za Kazi za Muda Kwa Uchaguzi Mkuu 2025, Zipo Hapa
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza nafasi za ajira za muda kwa ajili ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu, ikiwataka Watanzania wenye sifa kutuma maombi ya kazi ya usimamizi wa vituo vya kupigia kura.…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyerwa, Mwisho wa kutuma Julai 13
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa amepokea kibali cha Ajira chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/A/25 cha tarehe 29/4/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu OR – Utumishi. Hivyo anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma…
Mzumbe University Yatangaza Nafasi 46 Za Ajira Kwa Wahadhiri
Chuo Kikuu cha Mzumbe kimetangaza nafasi 46 za ajira katika nafasi za kitaaluma (academic positions), kikialika Watanzania waliobobea na wenye sifa stahiki kuwasilisha maombi yao.
Kupitia tangazo rasmi lililotolewa na uongozi wa Chuo…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Mufindi, Mwisho wa maombi Julai 10
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora kilichotoa idhini ya utekelezaji wa nafasi za Ajira Mpya katika ikama ya mwaka wa…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Manispaa Ya Moshi
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora kilichotoa idhini ya utekelezaji wa nafasi za Ajira Mpya katika ikama ya mwaka wa…
Nafasi Za Kazi 6,732 LGAs, Mwisho wa Kutuma Maombi Juni 26, 2025
Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 6,732 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili
Mwisho wa…
Nafasi Za Kazi 25 Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Dar Es Salaam (DUCE)
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam cha Elimu (DUCE) ni Chuo Chikuu Kidogo kilicho chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilichozinduliwa mwaka 2005. Kazi kuu za Chuo, kama zilivyoainishwa katika Katiba ya Chuo Kikuu na Kanuni za mwaka 2010,…
Nafasi Za Kazi Wilaya Ya Kongwa Mwisho wa maombi Juni 26, 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kufuatia kupokea kibali cha ajira mpya chenye Kumb. Na.FA.87/97/01/99 cha tarehe 15 Mei, 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora…
Nafasi Za Kazi Wilaya Ya Sikonge, Mwisho wa maombi Juni 29, 2025
Mkurugenzi amepata kibali kipya cha ajira kwa ikama ya mwaka 2024/2025 chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/25 cha tarehe 29.04.2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Kufuatia kibali hicho…
The Amazon College Yatangaza nafasi mbalimbali za Kazi
The Amazon College inatangaza nafasi mbalimbali za ajira kwa waombaji wenye sifa na ari ya kufundisha katika fani tofauti. Tunakaribisha maombi kutoka kwa wataalamu waliohitimu na wenye uzoefu katika fani zifuatazo:
🔹 Walimu wa…
Nafasi za Kazi 14 Mji Masasi, Mwisho wa kutuma maombi Juni 29, 2025,
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili 2025 kilichotoa idhini ya utekelezaji…
Nafasi za Kazi Kampuni ya Ndege ya Air Tanzania (ATCL)
Kampuni ya Ndege ya Air Tanzania (ATCL) ni Kampuni ya Umma inayomilikiwa kwa asilimia 100 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyosajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni (Sura 212) ya mwaka 2002, kufuatia kuvunjwa kwa…
Nafasi Ya Kazi: Ofisa Masoko Dar, Mwisho wa Kutuma Maombi Juni 15, 2025
Global Publishers Ltd, wamiliki wa Global TV Online na mitandao yake ya kijamii, inakaribisha maombi ya kazi kwa nafasi ya Ofisa Masoko.
🔹 Sifa Muhimu:
Uzoefu usiopungua miaka 2 katika kutafuta masoko na matangazo kwa…
TRA Yawapa Siku 14 Watumishi Wapya Kuripoti Kazini
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda ametoa siku 14 kuanzia Juni 06.2025 kwa waajiriwa wapya wa TRA ambao ni watumishi wa serikali kuripoti kazini na kuanza kazi la sivyo nafasi zao zitajazwa na…
Nafasi Za Kazi 57 Taasisi Mbalimbali Za Umma, Mwisho wa maombi Juni 17, 2025
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa, uwezo na ari ya kufanya kazi, ili kujaza jumla ya nafasi hamsini na saba (57) za ajira katika taasisi hizo.
Maelezo kamili kuhusu…
Nafasi Za Kazi 43 Kampuni Ya Meli Na Mamlaka Ya Hali Ya Hewa Tanzania (TMA)
Kampuni ya Usafirishaji Tanzania (TASHICO) na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inakaribisha Watanzania wenye sifa, uwezo na ari ya kufanya kazi kuomba nafasi arobaini na tatu (43) za…
Nafasi za Kazi 13 Mhudumu wa Huduma kwa Wateja Job Junction Tanzania
CUSTOMER CARE PARSON (13)
Details
Business name : JOB JUNCTION TANZANIA
Work Type: Full Time
Years of Experience 1 year
Location
Dar es Salaam District Dar Es Salaam
Interact with customers to solve issues and questions about…
Nafasi za Kazi Wilaya ya Mvomero, Sumbawanga, Wilaya ya Tanganyika na Wilaya ya Mlele
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, Manispaa ya Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika na Halmashauri ya Wilaya ya Mlele wamepokea kibali cha Ajira mpya kwa ikama ya mwaka 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu…
Nafasi Za Kazi Nane (08) Ofisi Ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge Na Uratibu
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera,Bunge na Uratibu anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi nane (08) kama ilivyoainishwa katika…
Nafasi Za Kazi Wahudumu wa Ndege Kutoka Job Junction Tanzania
FLIGHT ATTENDANTS
EMPLOYER:Job Junction Tanzania
LOCATION:Dar Es Salaam
Minimum Education level: Bachelor
JOB DESCRIPTIONS:
* Provide information, guidance, and assistance for safety and comfort to passengers on board aircraft…
Nafasi Za Kazi 15 Taasisi Mbalimbali Za Umma, Mwisho wa maombi Mei 25, 2025
Kwa niaba ya Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA), Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) na Wakala wa Mafunzo ya Mifugo (LITA), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inawaalika Watanzania wenye sifa stahiki na wenye…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Mji Handeni, Mwisho wa kutuma maombi Mei, 2025
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni -Tanga amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kilichotoa idhini ya utekelezaji wa nafasi za Ajira Mpya katika ikama ya mwaka wa…
Nafasi Za Kazi Chuo Kishiriki Cha Elimu Dar Es Salaam (DUCE)
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam cha Elimu (DUCE) ni Chuo Kikuu kidogo kilicho chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilichojengwa mwaka 2005.
Kazi kuu za Chuo, kama ilivyoainishwa katika Katiba na Sheria za mwaka 2010, ni kutoa…
Tangazo La Nafasi 800 Za Ajira Za Udereva – Ofisi Ya Waziri Mkuu Kupitia Mashirika
Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa kushirikiana na mawakala na kampuni tanzu ya Mkapa Foundation Imara Horizon, Connect General Supplies, Sassy Solutions pamoja na Larali Global Solutions, inapenda…
Nafasi Za Kazi 6 Taasisi Ya Jiolojia Na Utafiti Wa Madini Tanzania (GST)
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inawaalika Watanzania wenye sifa stahiki na ari ya kufanya kazi kujaza nafasi sita (6) za kazi kama ilivyoainishwa hapa chini.
Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) ni idara ya…
Nafasi ya Kazi Temeke Mwisho wa kutuma maombi Mei 12, 2025
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Manispaa ya Temeke kuomba nafasi ya kazi iliyotajwa hapo chini, baada ya kupokea kibali chenye Kumb. Na. FA.…