
Browsing Category
Ajira
Nafasi 8 za Kazi kwa Madereva – Halmashauri ya Ikungi 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi inawaalika Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi nane (8) za Dereva Daraja la II. Tangazo hili linaendana na kibali kilichotolewa na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.…
Serikali Yatangaza Ajira Mpya 976 kwa Taasisi Mbalimbali za Umma
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (Public Service Recruitment Secretariat – PSRS) imetangaza nafasi mpya 976 za kazi kwa niaba ya taasisi na mashirika mbalimbali ya Serikali.
Kupitia tangazo rasmi lenye Kumb. Na. Ref. No.…
Muheza Watangaza Nafasi 15 za Ajira Mpya Serikalini
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza anakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa za kujaza nafasi kumi na tano (15) za kazi baada ya kupokea kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na…
Ajira Mpya 28 Zatangazwa Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limetangaza nafasi za ajira katika kada tofauti likiwaalika Watanzania wenye sifa stahiki kutuma maombi yao.
Lengo ni kuongeza nguvu kazi na kuboresha utendaji wa sekretarieti ya Bunge.
Kwa…
Degree 10 Zenye Ajira za Haraka na Mshahara Mnono
Katika dunia ya leo inayoendeshwa na teknolojia na ubunifu, kuchagua kozi sahihi ya chuo ni jambo muhimu sana. Ikiwa unatafuta kusoma degree yenye ajira ya haraka na mshahara unaolipa vizuri, hizi ndizo kozi 10 zinazotamba zaidi…
Nafasi Kazi 10,026 Mpya – Fursa kwa Walimu, Wauguzi na Kada Nyingine!
Tangazo hilo ni rasmi la ajira serikalini lililotolewa na Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (TAMISEMI/PO-PSMGG) tarehe 18 Oktoba 2025 lenye Kumb. Na. JA.9/259/01/C/6.
Lengo lake ni kutangaza nafasi 10,026 za…
Serikali Yatangaza Nafasi 17,710 za Kazi MDAs & LGAs, Mwisho maombi Oktoba 29
Serikali imetangaza nafasi mpya 17,710 za kazi kwa taasisi za kitaifa na halmashauri (MDAs & LGAs). Angalia orodha ya nafasi, sifa, na jinsi ya kuomba kabla ya tarehe 29 Oktoba 2025. Pata maelezo kamili na hati za maombi hapa chini.…
Nafazi za Kazi 38 Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), Zipo Hapa Mwisho maombi Oktoba 28
Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) kipo Dar es Salaam na kinatangaza nafasi mbalimbali za ajira kwa wahadhiri wapya na wasaidizi wa ufundishaji katika kada za kitaaluma. ARU ni mwajiri mwenye sera ya kutoa fursa sawa kwa wote, hivyo…
Fursa za Kazi: Kisarawe Yatangaza Nafasi za Ajira Mpya Serikalini
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi zilizopatikana baada ya kibali cha ajira kutoka Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
1.0…
Nafasi Za Kazi Za Mkataba Halmashauri Ya Wilaya Ya Mlimba
Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba inatangaza nafasi za kazi za mkataa (contract) kwa idara mbalimbali. Wote wanaopenda wanakaribishwa kuomba nafasi hizi kwa kusoma vigezo na masharti yafuatayo:
TEMESA Yatangaza Ajira Mpya Hapa, Wahi Kuomba Kabla ya Muda Kuisha!
Hii ni tangazo rasmi la ajira kutoka Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) kwa niaba ya Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA). Mwisho wa kutuma maombi: 05 Oktoba, 2025.…
Global Tv Yatangaza Nafasi Za Kazi Kwa Vijana Wenye Vipaji
Kampuni ya utangazaji ya Global TV imetangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye vipaji na shauku ya kujiunga katika timu yake ya vipindi vya runinga.
Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa, jumla ya nafasi 6 zimefunguliwa:
🎤…
Ajira Mpya: Halmashauri ya Mbulu Yatangaza Nafasi 4 za Dereva
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
DEREVA DARAJA LA II – NAFASI 4…
Nafasi za Kazi 298 TAWIRI, VETA, NIMR, TFNC, PSRS, TBA na NMT
Kwa niaba ya Mamlaka ya Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Kazi (VETA), Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba (NIMR), Kituo cha Chakula na Lishe…
Halmashauri Tano Zatangaza Nafasi za Kazi mpya Septemba 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri za Wilaya husika anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi kuomba nafasi za kazi zilizotolewa, kufuatia vibali vya ajira kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na…
Fursa za Ajira SUA 2025 – Walimu, Wasaidizi na Nafasi Nyingine
Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) kilianzishwa tarehe 1 Julai 1984 kwa Sheria ya Bunge Na. 6 ya mwaka huo, ambayo baadaye ilifutwa na Sheria ya Vyuo Vikuu Na. 7 ya 2005 na hatimaye SUA ikapewa Hati ya Chuo mwaka 2007. Chuo kina dira ya kuwa…
Nafasi 29 za Kazi Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya – Deadline 24 Agosti 2025
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kilianzishwa kutokana na mabadiliko ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Mbeya (MIST) kupitia Sheria ya Vyuo Vikuu Na. 7 ya mwaka 2005 na Katiba ya MUST ya mwaka 2013.
Dira ya Chuo ni…
Serikali Yatangaza Nafasi 199 za Ajira kwa Watanzania
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (MDA’s na LGA’s), ametangaza nafasi 199 za ajira mpya na kuwataka Watanzania wenye sifa na uwezo kuwasilisha…
Nafasi za Kazi 73 Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT)
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi sabini na tatu (73) kama…
Nafasi 195 za Kazi Taasisi Mbalimbali Za Umma
Sekretarieti ya Ajira Serikalini (PSRS) inawatangazia Watanzania wenye sifa stahiki kuwasilisha maombi ya kazi kwa ajili ya kujaza nafasi 195 kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
Waombaji wanapaswa kufuata miongozo yote…
MoCU Yatangaza Nafasi za Kazi za Kitaaluma, Moshi na Shinyanga
Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) kinakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa stahiki ili kuzingatiwa kwa ajira katika nafasi mbalimbali za kazi za kitaaluma zilizopo katika Kampasi Kuu iliyoko Moshi na Taasisi ya Ushirika…
Unatafuta Kazi Serikalini? Hizi Hapa Fursa Mpya Kutoka Sengerema!
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema amepokea kibali cha kutekeleza Ikama na Bajeti kwa Ajira Mpya kwa mwaka wa fedha 2024/2025 chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili,
2025 kutoka kwa Katibu Mkuu…
Makete Yatangaza Nafasi 12 za Kazi kwa Kada ya Udereva
Halmashauri ya Wilaya ya Makete kupitia Kibali cha Ajira mpya chenye Kibali chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025 chenye kada ya Dereva Daraja la II nafasi (12) kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya…
Nafasi za Kazi: Maafisa Mikopo 10 Wahitajika Haraka Wezesha Mzawa
Wezesha Mzawa Microfinance inakaribisha maombi kutoka kwa watu wenye hamasa na sifa stahiki kujiunga kama Maafisa Mikopo (Nafasi 10).
Sifa za Muombaji:
✔️ Shahada ya kwanza au Stashahada ya Juu katika Fedha, Uchumi,…
Nafasi za Kazi 526 Mweka, Muhimbili, TBC, NECTA, DIT, Mwisho maombi Julai 27
Jumla ya nafasi mia tano ishirini na sita (526) zinapatikana kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
Waombaji wote wanapaswa kuwa na sifa zinazokidhi vigezo vilivyobainishwa kwa kila nafasi husika, na wawe tayari kufanya kazi kwa…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Mkuranga, Mwisho wa maombi Julai 28
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga imepokea kibali cha Ajira mpya chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025 kwa nafasi ya Dereva Daraja la II na Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Manispaa Ya Songea, Mwisho wa maombi Julai 24
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea amepokea kibali cha Ajira Mpya chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Hivyo,…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Bahi, Mwisho wa maombi Julai 14
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi amepokea kibali kuhusu utekelezaji wa ajira mpya katika Mwaka wa fedha 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utmushi wa Umma na Utawala Bora.
Hivyo…
INEC Yatangaza Nafasi za Kazi za Muda Kwa Uchaguzi Mkuu 2025, Zipo Hapa
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza nafasi za ajira za muda kwa ajili ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu, ikiwataka Watanzania wenye sifa kutuma maombi ya kazi ya usimamizi wa vituo vya kupigia kura.…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyerwa, Mwisho wa kutuma Julai 13
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa amepokea kibali cha Ajira chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/A/25 cha tarehe 29/4/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu OR – Utumishi. Hivyo anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma…
Mzumbe University Yatangaza Nafasi 46 Za Ajira Kwa Wahadhiri
Chuo Kikuu cha Mzumbe kimetangaza nafasi 46 za ajira katika nafasi za kitaaluma (academic positions), kikialika Watanzania waliobobea na wenye sifa stahiki kuwasilisha maombi yao.
Kupitia tangazo rasmi lililotolewa na uongozi wa Chuo…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Mufindi, Mwisho wa maombi Julai 10
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora kilichotoa idhini ya utekelezaji wa nafasi za Ajira Mpya katika ikama ya mwaka wa…
Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Manispaa Ya Moshi
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora kilichotoa idhini ya utekelezaji wa nafasi za Ajira Mpya katika ikama ya mwaka wa…
Nafasi Za Kazi 6,732 LGAs, Mwisho wa Kutuma Maombi Juni 26, 2025
Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 6,732 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili
Mwisho wa…
Nafasi Za Kazi 25 Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Dar Es Salaam (DUCE)
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam cha Elimu (DUCE) ni Chuo Chikuu Kidogo kilicho chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilichozinduliwa mwaka 2005. Kazi kuu za Chuo, kama zilivyoainishwa katika Katiba ya Chuo Kikuu na Kanuni za mwaka 2010,…
Nafasi Za Kazi Wilaya Ya Kongwa Mwisho wa maombi Juni 26, 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kufuatia kupokea kibali cha ajira mpya chenye Kumb. Na.FA.87/97/01/99 cha tarehe 15 Mei, 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora…
Nafasi Za Kazi Wilaya Ya Sikonge, Mwisho wa maombi Juni 29, 2025
Mkurugenzi amepata kibali kipya cha ajira kwa ikama ya mwaka 2024/2025 chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/25 cha tarehe 29.04.2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Kufuatia kibali hicho…
The Amazon College Yatangaza nafasi mbalimbali za Kazi
The Amazon College inatangaza nafasi mbalimbali za ajira kwa waombaji wenye sifa na ari ya kufundisha katika fani tofauti. Tunakaribisha maombi kutoka kwa wataalamu waliohitimu na wenye uzoefu katika fani zifuatazo:
🔹 Walimu wa…
Nafasi za Kazi 14 Mji Masasi, Mwisho wa kutuma maombi Juni 29, 2025,
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili 2025 kilichotoa idhini ya utekelezaji…
Nafasi za Kazi Kampuni ya Ndege ya Air Tanzania (ATCL)
Kampuni ya Ndege ya Air Tanzania (ATCL) ni Kampuni ya Umma inayomilikiwa kwa asilimia 100 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyosajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni (Sura 212) ya mwaka 2002, kufuatia kuvunjwa kwa…