×

May 2017

VIDEO: Kama Tunakimbiza Mwenge Basi Tukimbize Jembe, Nyundo & Shoka – Sugu

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amelaumu kuwa baadhi ya viongozi wa serikali wamesahau misingi ya Muasisi wa Taifa,...

READ MORE

Tonto Nusura Aue Muendesha Baiskeli

MKONGWE wa filamu ambaye ameelekezea maisha yake kusaidia jamii, Tonto Dikeh amefanikiwa kuokoa maisha ya kijana mmoja ambaye jina lake...

READ MORE

Tanzania Yapokea Tuzo Ya Upatikanaji wa Umeme Vijijini

Jitihada za Wizara ya Nishati na Madini za kuhakikisha umeme unafika na kusambaa maeneo ya vijijini zimetambuliwa kimataifa hali iliyopelekea...

READ MORE

Madaktari Bingwa India kutoa huduma Tanzania

MADAKTARI  Bingwa kutoka Hospitali ya Prince Aly Khan ya Nchini India kwa kushirikiana na Madaktari wa Aga Khan wameanza kufanya...

READ MORE

Genevieve: Miss Tanzania 2010 Anayevaa Viatu Vya K-Lyinn

NA ANDREW CARLOS | GAZETI LA IJUMAA | SHOWBIZ UKIAMBIWA utaje ma-miss walioteka katika Muziki wa Bongo Fleva moja kwa...

READ MORE

Hali ya Mbunge wa CHADEMA Siyo Nzuri, Alazwa Muhimbili

Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche alifikishwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jana akitokea Dodoma kwa ajili ya matibabu...

READ MORE

Mo Akabidhiwa Mzigo wa Mamilioni Simba

MWANACHAMA wa Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’, endapo atafanikiwa kuimiliki klabu hiyo, atakutana na mzigo wa kulipia madeni ya kodi klabuni...

READ MORE

Mbaraka Amkana Aveva, Adai Hana Mkataba Simba

 Na Said Ally | Championi Ijumaa | Habari BAADA ya juzi Jumatano, Rais wa Simba, Evans Aveva kutangaza klabu hiyo...

READ MORE

Yale ya Fakhi, Yanga Yampiga stop Cannavaro

Ibrahim Mussa | Championi Ijumaa | Habari BAADA ya kuvuliwa ubingwa wa Kombe la FA na Mbao FC, uongozi wa...

READ MORE

Gigy Money Taa Nyekundu Yamuwakia

TAA nyekundu imeshamuwakia modo na msanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ kwani kura zake zinaonekana kutaka kupungua. Baada...

READ MORE

LIVE: Wabunge Viti Maalum Wacharuka Dhidi ya Wabunge wa Majimbo Kuhusu Pesa za Mfuko wa Bunge

Wabunge wa kuteuliwa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamecharuka Bungeni wakitaka wahusike kwenye mfuko wa Bunge ambao...

READ MORE

Pluijm Aihamishia Singida United Mwanza

CHAMPIONI IJUMAA TIMU ya soka ya Singida United ya mkoani Singida ambayo imepanda daraja hivi karibuni na itashiriki Ligi Kuu...

READ MORE

Ufafanuzi wa Taarifa Inayodai JPM Ametengua Agizo la Mwakyembe Kuzuia Redio na TV Kusoma Magazeti

Ufafanuzi wa taarifa inayodai Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametengua agizo la Waziri Dkt. Mwakyembe kwa vyombo vya habari kuhusu...

READ MORE

VIDEO: Manchester United Walivyoichapa Celta Vigo 0-1 (Europa)

Klabu ya soka ya Manchester United usiku wa kuamkia leo imechomoza na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Celta Vigo...

READ MORE

Msuva Ataja Dakika 450 za Kifo

Said Ally | Championi Ijumaa | Habari KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, ameweka wazi kuwa watapambana kwa ajili ya...

READ MORE

Ligi Kuu Bara Yarejea Mzigoni Kesho

  Omary Mdose| Championi Ijumaa | Habari BAADA ya kusimama kwa takriban mwezi mzima, uhondo wa Ligi Kuu Bara unarejea...

READ MORE

Baby Madaha Adaiwa Kuhongwa Gari

 STORI: MWANDISHI WETU, IJUMAA, HABARI MSANII wa muziki na filamu Bongo, Baby Madaha amegandwa na skendo ya kuhongwa gari kisha...

READ MORE

Tatizo la Kuvimba Miguu Wakati wa Ujauzito

DK. CHALE | IJUMAA | AFYA KWA kawaida katika kipindi cha miezi mitatu ya mwisho ya ujauzito hali ya mama...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Mei 5, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 5, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Machangu Wajilipua Kwa Rais Magufuli

STORI: ANDREW CARLOS, IJUMAA, HABARI DAR ES SALAAM: Kama mbwai na iwe mbwai! Ndivyo wanavyosema baadhi ya wasichana wanaojihusisha na...

READ MORE

Vanessa Mdee Alalamika Kuchafuliwa na Afande Sele

Muda mfupi baada ya msanii wa kitambo kwenye muziki wa kizazi kipya Bongo, Afande Sele kusikika kwenye kituo kimoja cha...

READ MORE

‘Dasani Marathon’ Kufanyika Dar Mei 14

MASHINDANO ya riadha ya Dasani Marathon yameandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ya jijini Dar es Salaam, yanatarajiwa kuanza Mei 14...

READ MORE

NEC Yamteua Catherine Ruge Kuwa Mbunge wa Viti Maalum Chadema

Kwa mujibu wa Ibara ya 78(4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ikisomwa pamoja na...

READ MORE

Waziri Kijana Zaidi wa Somalia Auawa kwa Kupigwa Risasi

MOGADISHU, SOMALIA: Waziri mwenye umri mdogo zaidi nchini Somalia, ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Mogadishu muda mchache baada ya kuzindua...

READ MORE

Spoti Hausi LIVE: Binslum Afunguka Udhamini Wake Kwenye Soka la Tanzania

Mfanyabiashara Nasor Binslum ambaye anaidhamini Klabu ya Mbeya City amefunguka kuhusu udhamini wake kwenye klabu mbalimbali za soka hapa Tanzania...

READ MORE

Waziri Azindua Mpango wa Waajiri Kutoa Mafunzo kwa Vijana

NAIBU Waziriri wa Kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde, amezindua mpango mkakati wa kutoa mafunzo kwa vijana wanaotarajiwa kufanya kazi...

READ MORE

Rais Magufuli Amefanya Uteuzi Mwingine Leo Mei 4, 2017

IKULU: Rais Magufuli amemteua Prof. Egid Beatus Mubofu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Uteuzi umeanza Mei...

READ MORE

Ripoti ya Vyeti vya Madaktari, Wauguzi Dar… Wagonjwa Hali Mbaya

Na Waandishi Wetu, AMANI | DAR ES SALAAM: Inatisha! Kufuatia tamko la Rais Dk. John Pombe Magufuli kuwataka watumishi wa...

READ MORE

BUNGENI: Prof. Jay Akipaza Sauti kwa Niaba ya Wananchi wa Kilosa (VIDEO)

Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Prof Jay’ (Chadema) amepaza sauti Bungeni mjini Dodoma akihoji kuhusu mradi wa bwawa...

READ MORE

Mahojiano ya Nay wa Mitego na Polisi Kuhusu Wapo

NA BONIPHACE NGUMIJE | AMANI | MAKALA TAKRIBAN mwezi mmoja umekwishakatika tangu mkali wa michano ya Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki...

READ MORE

EFM Radio Yatua Kanda Ya Ziwa 91.3

KATIKA kuhakikisha watanzania wengi wanapata matangazo yake, Kituo cha Utangazaji cha Efm kimetanua matangazo yake kwa kuongeza masafa ya 91.3...

READ MORE

Prof. Lipumba Aanika Aliyemuunganisha na Lowassa, Ishu ya Kutumika na CCM

Prof. Ibrahim Lipumba DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa CUF anayetambulika na msajili wa Vyama vya Siasa Prof. Ibrahim Lipumba leo...

READ MORE

Lukuvi Amtumbua Kigogo wa Ardhi kwa Kughushi Nyaraka na Kunyang’anya Ardhi Wanakijiji

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi ameamuru kusimamishwa kazi Afisa Mipango Miji wa Lindi Ndugu...

READ MORE