Yanga Yaangusha Pointi Ugenini Dhidi ya Silver Strikers
Klabu ya Young Africans SC imeanza hatua ya pili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League 2025/26) kwa kipigo cha bao 1-0 dhidi ya wenyeji Silver Strikers ya Malawi.
Mchezo huo wa mkondo wa kwanza umepigwa katika…
