WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amemkakabidhi mbunge wa Bukene, Selemani Zedi mifuko 50 ya saruji iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora kupitia CCM, Munde Tambwe baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Taifa wa Bukene wilayani Nzega Agosti 17, 2018.
Saruji hiyo imetolewa kwa jimbo la Bukene ili isaidie katika ujenzi wa miundombinu ya huduma za jamii jimboni humo ambapo Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri ameshuhudia tukio hilo.
Comments are closed.