The House of Favourite Newspapers

MAJALIWA APOKEA MIFUKO 50 YA SARUJI KWA AJILI YA JIMBO LA BUKENE

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa  amemkakabidhi mbunge wa Bukene, Selemani Zedi mifuko 50 ya saruji iliyotolewa na Mbunge wa Viti  Maalum mkoa wa Tabora kupitia  CCM, Munde Tambwe  baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Taifa wa Bukene wilayani Nzega  Agosti 17, 2018.

 

Saruji hiyo imetolewa kwa jimbo la Bukene ili isaidie katika ujenzi wa miundombinu ya  huduma za  jamii jimboni humo ambapo Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri ameshuhudia tukio hilo.

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimkabidhi mbunge wa Bukene, Selemani Zedi (kushoto) mifuko 50 ya saruji iliyotolewa na Mbunge wa Viti  Maalum mkoa wa Tabora kupitia  CCM, Munde Tambwe  (wapili kushoto ) baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Taifa wa Bukene wilayani Nzega  Agosti 17, 2018 saruji hiyo imetolewa kwa jimbo la Bukene ili isaidie katika ujenzi wa miundombinu ya  huduma za  jamii jimboni humo. Wapili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya wananchi baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika uwanja wa Taifa wa Bukene wilayani Nzega, Agosti 17, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiangalia saruji iliyotolewa na Mbunge wa Viti  Maalum mkoa wa Tabora kupitia  CCM, Munde Tambwe.

Comments are closed.