The House of Favourite Newspapers

Ahmed Ally Aishiwa Maneno Baada Ya Kutinga Dar Usiku, Ataja Ujumbe Wa Mo Dewji.. -Video

0

Simba SC wamewasili Dar wakitokea Mwanza baada ya kuchezea kichapo cha goli moja na Yanga katika mchezo wao wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam.

 

Global TV imeafanya mahojiano na msemaji wa klabu hiyo Ahmed Ally.. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

Leave A Reply