ASLAY ASEPA NA KIJIJI DAR LIVE SIKUKUU YA PASAKA (PICHA +VIDEO)
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Aslay Isihaka katika sikukuu ya Pasaka Aprili 21, 2019 amewathibitishia wapenzi wa burudani kwa kufanya shoo ya nguvu ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar.
PICHA NA RICHARD BUKOS, GPL
Comments are closed.