Muheza Watangaza Nafasi 15 za Ajira Mpya Serikalini
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza anakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa za kujaza nafasi kumi na tano (15) za kazi baada ya kupokea kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na…
