The House of Favourite Newspapers
gunners X

Polisi Kuwasaka Waliomuua Mc Pili Pili

Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma limethibitisha kifo cha Mshereheshaji na Mchekeshaji maarufu, Emmanuel Mathias (MC Pilipili), mkazi wa Swaswa, aliyefariki Novemba 16, 2025 majira ya saa 9 alasiri katika Hospitali ya Ilazo. Kamishna…