Waziri Ummy Atangaza Tanzania Kuwa Kitovu cha Utalii Tiba
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi katika Bara la Afrika na kuwa nchi ya kutembelewa kwa ajili ya utalii tiba kutokana na uboreshanji wa…