BABA WA ALIKIBA ALIVYOZIKWA MAKABURI YA KISUTU DAR (PICHA +VIDEO)
BABA wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ally Kiba, marehemu Saleh Kiba ambaye alifariki juzi asubuhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alizikwa jana katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Mazishi hayo yalihudhuriwa na umati wa waombolezaji akiwemo Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalah.
PICHA NA RICHARD BUKOS, GPL
Comments are closed.