Bakwata Watoa Tamko Tishio La Kumuondoa Mufti
Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) Mkoa wa Dar es Salaam limewalaani vikali watu waliotoa na kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini wakiwa na lengo la kumchafua Mufti wa Baraza hilo kwa ujumla.
Taarifa hiyo tunaiweka hapo chini kikamilifu:
(HABARI NA ABEID LIJEI | GLOBAL TV ONLINE)
Comments are closed.