Beyonce Aficha Ujauzito Wake, Avaa T-Shirt Kubwa
MWIMBAJI Beyonce jana alionekana akiwa amevaa kikaptura cha jeans na T-shirt kubwa na pana ambapo mashabiki waliomwoma jijini Nice, Ufaransa, waliendelea kuamini kwamba ana ujauzito wa tatu tangu waoane na mumewe Jay Z, ambao utawaletea mtoto wa nne.
Beyonce (36) aliyejifungua watoto mapacha, Rumi na Sir, mwaka jana mwezi Juni, ana mtoto mwingine wa kwanza, Blue Ivy. Baada ya ziara ya wawili hao nchini Ufaransa, wataelekea Amerika ya Kaskazini.
Beyonce na mumewe wakijivinjari baharini jana.
…Akiwa amepozi mbele ya kamera bila wasiwasi.
Comments are closed.