‘BONGO MUVI RAHA’ WAWAPONGEZA WEMA, MONALISA
WASANII wa kundi la Bongo Muvi Raha jana waliwafanyia pati ya kuwapongeza wasanii wenzao, Wema Sepetu na Yvonne Cheri ‘Monalisa’, baada ya kupewa tuzo za uingizaji bora. Pati hiyo ilifanyika Life Club, Mwenge Jijini Dar na kuhudhuriwa na wasanii mbalimbali wa filamu.
HABARI/ PICHA: RICHARD BUKOS / GPL
Comments are closed.