MSANII Rayvanny toka kundi la Wasafi Cl;assic Baby (WCB) amefanikiwa kufikia rekodi ya juu baada ya wimbo wake wa...
READ MORERAPA Dogo Janja amemtambulisha mchumba wake mpya kupitia akaunti yake ya instagram akimtakia heri ya sikuku ya kuzaliwa huku...
READ MOREKWELI? Mrembo ambaye jina lake limesimama kutokana na umbo lake matata, Jane Rimoy ‘Sanchi’ hivi karibuni alionekana akijiachia huku akiwa...
READ MOREMASKINI! Baba mzazi wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Juma kwa mara ya kwanza amefunguka kwamba...
READ MORELICHA ya sakata lake la unyanyasaji wa mabinti kingono kuendelea kuwa juu kila kona, mkongwe wa R&B, R Kelly, ameibuka...
READ MOREDAR ES SALAAM: Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuagiza staa wa Bongo Fleva kutoka...
READ MOREMREMBO ambaye ametengeza jina lake kupitia umbo lake ‘matata’, Jacqueline Obed ‘Poshy Queen’ amefunguka kuwa, moja ya silaha kubwa ya...
READ MOREBAADA ya hivi karibuni kuposti picha akiwa na mpenzi mpya mbali na aliyezaa naye anayejulikana na wengi, mwigizaji anayefanya poa...
READ MOREMZAZI mwenza wa mkali wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’, Fahyma ‘Mama Jaydan’...
READ MOREJARIBIO halipo mbali. Halichukui muda mrefu sana kutoa majibu. Cha kufanya, chukua picha kali ya mrembo Tanasha Donna. Hakikisha ina...
READ MOREMSANII wa Bongo Fleva, Omary Nyembo maarufu kama Ommy DImpoz amefunguka A-Z kuhusu ugonjwa wake wa koo ulivyokuwa ukimsumbua na...
READ MOREWASANII fani mbalimbali wamekutana na waandishi wa habari tarayi kwa ziara maalum ya kutembelea mradi mkubwa wa reli ya kisasa...
READ MOREWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Kampasi ya DUCE, wikiendi iliyopita walifanya tamasha la nguvu la kuonyesha...
READ MORENAJARIBU kuvuta picha siku ya kwanza kabisa kukutana na mwanadada anayefanya fresh kwenye game la muziki Bongo. Huyu si mwingine...
READ MOREIMEFICHUKA! Baada ya awali mastaa wengi Bongo kuonekana kukimbilia sana nchini China, Ijumaa Wikienda limebaini kuwa kwa sasa mastaa wengi...
READ MOREWAKATI mtazamo wa baadhi ya watu wakiamini kuwa Muziki wa Hip Hop Bongo haulipi kivile, hali imekuwa tofauti kwa staa...
READ MOREMSANII wa muziki kutoka WCB, Harmonize amejibu tuhuma iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwamba huwenda akawa...
READ MORESTAA mwenye nyota kali Bongo Muvi, Wema Sepetu ameibua jipya kuhusiana na ishu yake ya kukonda ambapo ameamua kufunguka kuwa,...
READ MOREMUIGIZAJI wa muda mrefu kwenye tasnia ya filamu Bongo, Mike Sangu amesema kuwa sio kwamba haoni wanawake wa kuoa tangu...
READ MOREMSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz amerejea nchini akitokea kwenye matibabu yake baada ya kuugua kwa muda mrefu...
READ MOREMASTAA wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’, Steven Mengele ‘Nyerere’ na Single Mtambalike ‘Richie’ wamempongeza shemeji yao, mume wa msanii...
READ MOREMUUZA nyago maarufu Bongo, Irene Godfrey ‘Lynn’ amefunua jinsi alivyokuwa anapenda kula maziwa ya unga kiasi kwamba alikuwa anadiriki kudokoa...
READ MORE MTANGAZAJI wa kituo cha EATV, Suzane Benard ‘Suzy’ jana asubuhi amesherehekea siku yake ya kuzaliwa kimaajabu ambapo amejichanganya na...
READ MOREMSHTUKO! Huku akiwa anasakwa na Jeshi la Polisi (wanted) Tanzania, chipukizi wa muziki wa Bongo Fleva, Patrick Christopher ‘PCK’ ambaye...
READ MOREKiongozi wa Kundi la Chekelea Stand Up Comedy, Oscar Luambano a.k.a Oscar Nyerere akizungumza na wanahabari kwenye Hoteli ya Kebbys...
READ MORESIKU chache baada ya habari kusambaa mitandaoni kuwa ana bifu kali na msanii wa filamu Bongo, Irene Uwoya huku chanzo...
READ MOREYAWEZEKANA kabisa wewe ni msanii chipukizi au msanii mkubwa Bongo unayetamani siku moja uweze kutambulika kimataifa, lakini hujui wapi pa...
READ MORESUZANE Benard ‘Suzy’ ambaye ni mtangazaji wa EATV leo (Jumamosi) anatarajia kutoa sapraiz kwa wanawake wanaofanya usafi barabarani ikiwa ni...
READ MOREMkurugenzi wa African Stars Entertainment (ASET), Asha Baraka amegeuka mwiba mkali kwa kuwachamba wanamuziki Raia wa DR Congo wanaofanya shughuli...
READ MORELICHA ya penzi lao kuwa na migogoro kila wakati, mtangazaji wa Choice FM, Mourad Alpha ‘Mo J’ ameibuka na kutangaza...
READ MOREMakala: Sifael Paul KIPINDI cha miaka ya nyuma uliibuka mtindo fulani wa baadhi ya wanamuziki wa kike waliokuwa wanachipukia nchini...
READ MOREUkitaja wasanii ambao wanafanya vizuri kwa upande wa wanawake hutoacha kulitaja jina la Nandy ambaye kwa sasa anatamba na kibao...
READ MOREDAR ES SALAAM: BAADA ya kutupia picha zake tata mtandaoni, mkongwe wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Jide’ yamemkuta majanga yaliyowahi...
READ MOREMJASIRIAMALI mashuhuri nchini Marekani, Warren Buffett amewahi kusema; tofauti kati ya watu wenye mafanikio na watu wenye mafanikio zaidi ni...
READ MOREHAJACHINA! Esma Khan ambaye ni dada wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Mondi’ ameweka wazi kuwa kuachika kwake kwenye...
READ MOREKAZI kwelikweli! Staa asiyeishiwa vituko kunako Bongo Movies, Faiza Ally, amefunguka kuwa endapo itatokea bahati mbaya akakwaa ugonjwa wa Ukimwi...
READ MOREDAR ES SALAAM: Mchumba wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna Oketch ameendelea kutengeneza vichwa vya habari Bongo, Amani...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda ameagiza vyombo vya usalama kumchunguza msanii Harmonize kama anatumia bangi au...
READ MOREMkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo januari 31, amekutana na wasanii kutoka katika tasnia zote nchini...
READ MOREDAR ES SALAAM: Kufuatia kilichojiri ukumbini usiku wa kuamkia juzi Jumatatu, Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad...
READ MORE