×

Celebrities

Kesi ya Kuvamiwa Studio za S2Kizzy Yafikia Hapa

Producer S2Kizzy amefunguka kinachoendelea kwenye kesi ya kuvamiwa na kushambuliwa studio kwake na watu waliojitambulisha kuwa ni sungusungu kwa kusema...

READ MORE

Dunia Yamlilia Maradona

GWIJI  wa zamani wa kandanda, Diego Maradona, amefariki dunia jana akiwa na umri wa miaka 60 kwao Argentina ambapo mapema...

READ MORE

Bibi Harusi Atua Harusini na Suti

SANJANA RISHI hivi karibuni aliamua kuvalia suti katika harusi yake badala ya mavazi ya kitamaduni ya bibi harusi wa Kihindi...

READ MORE

Ngoma mpya ya Diamond ft Koffi Olomide ‘Waah’

  Msanii Diamond Platinumz ametoa wimbo mpya akishirikiana na Legendi kutoka DRC Koffi Olomide unaoitwa ‘Waah’ 

READ MORE

Bieber Awakosoa Grammy Kuhusu Albamu Yake

MWIMBAJI wa muziki wa Pop na R&B kutokea nchini Canada, Justin Bieber, mwaka huu amepata nafasi ya kutajwa kuwania Tuzo...

READ MORE

Mkali Wenu: Alikiba Aliniomba Kumwandikia ‘Mediocre’

MCHEKESHAJI maarufu nchini, Mkali Wenu,  ametoa kali ya mwaka baada ya kufunguka kwamba alimwandikia wimbo wa Mediocre  msanii Alikiba ambapo...

READ MORE

The Weeknd Amwaga Povu Kukosekana Grammy

THE WEEKND, mhanga wa tuzo za Grammy, ameibuka na kuwatupia lawama watayarishaji wake kwamba ni wala rushwa,  mara baada ya...

READ MORE

Mondi Atoswa Tuzo za Grammy

HATIMAYE vipengele vya tuzo za Grammy 2021 vimetajwa rasmi usiku huu, ambapo Burna Boy wa Nigeria ameendelea kudhihirisha kuwa ndiye...

READ MORE

Kaka wa 21 Savage Adaiwa Kuuawa kwa Kuchomwa Kisu

KAKA wa rapa maarufu nchini Marekani, Shéyaa Bin Abraham-Joseph ’21 Savage’, aitwaye Terrell Davis ameuawa kwa kuchomwa kisu jijini London....

READ MORE

Koffi Amvulia Kofia Mondi

MWANAMUZIKI mkongwe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Antoine Christophe Agbepa Mumba almaarufu Koffi Olomide au Mopao Mokozi, amemnyooshea mikono...

READ MORE

Rafiki wa Zari Azuia Mali za Ginimbi

MALI za aliyekuwa bilionea maarufu katika ukanda wa nchi za Kusini mwa Bara la Afrika, Genius Kadungure ‘Ginimbi’ (36), zimezua...

READ MORE

Big Announcement: Diamond Atangaza Jambo Zito – Video

Mkurugenzi wa Wasafi Media, Diamond Platnumz ametangaza rasmi tarehe ya kuanza #tumewashanatigo2020 ambayo ni tarehe 28/11/2020 na itaanzia Kahama mkoani...

READ MORE

Daktari Ampiga Stop Aunt

DAKTARI maarufu wa magonjwa ya wanawake jijini Dar, amempiga ‘stop’ staa wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel akimtaka kuacha kuzurura,...

READ MORE

Ben Pol Atoa Kauli kwa Mashabiki

MSANII nguli wa muziki wa R&B na Bongo Fleva, Benham Paul ‘Ben Pol’, amewashukuru mashabiki kwa kumpa ushirikiano kila anapotoa...

READ MORE

The Rock Agoma Jordan Kuwa Mwanaume Mwenye Mvuto Zaidi Duniani

Muigizaji Dwayne Johnson ‘The Rock’ kwa utani ameshindwa kukubali matokeo ya ushindi wa Michael B. Jordan kama Mwanaume mwenye mvuto...

READ MORE

Tuzo za AMA’s Nick Minaj Amgaragaza Card B

BADO taji la Umalkia wa Rap duniani analimiki Nicki Minaj, uthibitisho tumeupata usiku wa kuamkia leo ambapo zilitolewa tuzo za...

READ MORE

Staa Atua Harusini na Mademu Zake 6 Wajawazito

  MSANII na mwanamitindo maarufu nchini Nigeria, Pretty Mike, aliibua gumzo kubwa katika jamii alipohudhuria harusi ya mwigizaji Williams Uchemba,...

READ MORE

Harmo Kumburuza Wolper Kortini

TUSI la kishari la msanii Jacqueline Wolper Massawe alilomvurumisha mpenzi wake wa zamani Rajabu Abdul Kahali ‘Harmo’ huwenda likamtia matatani,...

READ MORE

Ni Vita ya Funga Mwaka

MUZIKI mzuri hutengenezwa na ubunifu ambao unafanywa na wasanii kwa kufanya kazi nzuri. Kazi ambayo inaweza kuishi miaka mingi na...

READ MORE

Wamejitoa Kimasomaso, Mungu Amewaona

WAHENGA walisema kuwa na mtoto siyo nguo useme utamuomba mtu! Ndivyo ilivyokuwa kwa baadhi ya mastaa Bongo ambao waliamua kujitoa...

READ MORE

Mo Music wa Basi Nenda, Amekwenda Kwelikweli

MARA nyingi imetokea kwa wanamuziki wa kada mbalimbali duniani kuwika na ngoma moja tu matata mno ya kiwango cha Dunia...

READ MORE

Pongezi kwa Ijumaa Kuondoa Kinyesi kwa Mondi

MIEZI kadhaa iliyopita, mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alitangaza hadharani kuzilipia kodi ya nyumba familia 500, jambo...

READ MORE

Uwoya: Ni Kweli Mimi ni Jini

STAA mwenye mvuto wa kipekee kunako Bongo Movies, Irene Pancras Uwoya, amesema kuwa, watu wengi wanamfananisha na jini kutokana na...

READ MORE

Tuzo Yataka Kumtoa Roho Nandy

  UKIZUNGUMZIA wanamuziki wa kike wenye nguvu ndani ya Bongo Fleva kwa sasa, jina la Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’, haliwezi...

READ MORE

Kiba Aibua Mchezo Mchafu wa Mondi

MKALI wao ndani ya Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’, ameibua mchezo mchafu ambao hufanywa na baadhi ya wasanii...

READ MORE

Koffi Olomide Amfuata Diamond Kufanya Kolabo

MSANII mkongwe kutoka DRC Congo amewasili nchini usiku wa kuamkia Ijumaa wiki hii, Novemba 20, 2020. kwa ajili ya kufanya...

READ MORE

Asha Boko Afunguka Baada ya Kuolewa Mara ya Pili

  MSANII wa filamu wa muda mrefu nchini, Asha Boko, siku ya leo Novemba 20, amefunga ndoa kwa mara ya...

READ MORE

Magari ya Ginimbi Kugawiwa Watoto Yatima

NI maajabu! Ndivyo unavyoweza kutafsiri wosia aliodaiwa kuachwa na bilionea wa Zimbabwe, Genius Kadungure ‘Ginimbi’ ambaye amezikwa mwishoni mwa wiki...

READ MORE

Nandy, Kiba, Utamu Unakuja, Unakata

MTOTO mkali kunako gemu ya muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ hivi karibuni ameachia bonge moja la ngoma iliyokwenda...

READ MORE

Enock Bella: Yamoto Bendi Kuvunjika Lilikuwa Pigo Kubwa Kwangu

MSANII wa Bongo Fleva, Enock Rashid ‘Enock Bella’, amefungu kuwa kipindi lilipovunjika kundi la Yamoto Bendi alikata tamaa kiasi cha...

READ MORE

Dayna Nyange Afichua Siri ya Wasanii wa Kike Kubuma

SEXLADY kunako anga la muziki mtamu wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna Nyange’ amesema changamoto kubwa zinazowafanya wasanii wa kike...

READ MORE

Amber Lulu: Atakayenioa Atasimulia Dunia Nzima

  MSANII wa Bongo Fleva, Lulu Auggen ‘Amber Lulu’ amesema kuwa mwanaume atakayebahatika kumuoa atakuwa amebahatika na ikiwezekana anaweza hata...

READ MORE

Wasanii 6 wa Bongo Fleva Waliotikisa 2020

MUZIKI wa Bongo Fleva una wasanii wengi waimbaji; kazi yao ni moja tu, kutoa burudani kwa mashabiki wao ambao ndio...

READ MORE

Ibrah Afunguka Kupoteza Mkwanja Mrefu Kinoma

MWEZI mmoja tu baada ya kutambulishwa rasmi kwenye Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), siku ile ya Aprili 8, mwaka...

READ MORE

Video: Zuchu Apata Dili Nono la Ubalozi

Muimbaji  Zuchu kutoka lebo ya WCB  amelamba dili la ubalozi kupitia kampuni ya Nywele ya  Darling, msanii huyo ameambatana na...

READ MORE

Harmo Avunja Rekodi ya Kiba

STAA wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul Kahali ‘Harmonize’, amevunja rekodi ya msanii mwenzake, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ aliyoiweka miaka...

READ MORE

Aslay Aweka Rekodi Mpya

STAA Bongo Fleva, Aslay Isihaka, hana tambo, mbwembwe wala makelele mengi, lakini anakimbiza mwizi kimyakimya na kuweka rekodi zake za...

READ MORE

Mobeto Aambiwa ana Damu ya Kunguni

  MWANAMAMA ambaye ni mwanamitindo na msanii wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto ameambiwa kuwa siyo siri ana damu ya kunguni....

READ MORE

Lil Wayne Huenda Akapigwa Miaka 10 Jela

HUENDA rapa Dwayne Michael Carter  maarufu kama Lil Wayne (38) akafungwa miaka 10 gerezani akikutwa na hatia baada ya kushtakiwa...

READ MORE

Ukweli Waanikwa Nyumba ya Mondi Kuuzwa

Mjini kuna mambo! Wikiendi iliyopita kulisambaa tetesi kwamba mjengo wa kifahari anaoishi msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul...

READ MORE